Faida ya kuwanga

hahaaa...!pole ndo life letu la kibongobongo hilo ila mi nakushauri omba dua kabla ya kulala nothing will disturb you again!
 

So......?
Watakubutua ngoja waje na swaumu zao.
 
So......?
Watakubutua ngoja waje na swaumu zao.

Mkuu acha kashfa ya kuwasema watu walio ktk mwezi wa ramadhani, hata kama mwanga alikuwa ni kati ya hao walio kwenye ramadhani haimaanishi kuwa wanga wote ni watu wa imani hiyo, huku makwetu tuna wanga n
 

Hao sio ndugu zako bali ni vibwengo. Huwa wanapenda sana ule mchezo mcafu wa kuruka ukuta. Hakikisha unalala umevaa supi ya chuma.
 
Ulijuaje kuwa ni wanga kama wewe si mwanga?
 

Pole mkuu ukiamka lazima wakule tigo hebu angalia
 
Lala na mfupa wa kitimoto ww.. Hujajuaga tuuuuu.. Shauri yako watakunyakua ujikute umelala kwenye sanduku la kuuzia chips
 

Hapo faida iko wapi?
 

ha!! ha!! ha!! ha!! ha!! ha!!!
hizi sasa bange, sasa faida ipo wapi hapo mkuu.......!!!!???
 
Mhhh hiyo technology tungeitumia kivingine tunge win aisee
 
Mkuu mura acha kutufehesha, unataka kusema sisi akina mura ni wanga? aisee nitake radhi mura kabla sijatembeza panga sasa hivi.
hahahaaaa! ebhana nilitaka kujua kama kweli wewe ni wa Tarime! hahaaa!

kuna sehem nimeona Tarime one anataka kumghecha mtu bhana!

sasa nikaona nikimshika mabhoko anaweza akanigeukia! lol.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…