Faida ya kuoa/kuolewa

Ndoa haina faida yoyote kwa maisha ya Sasa.

Lengo ilikuwa kuwafanya watu waishi maisha ya bila kuchepuka. Lkn kwa Sasa haiwezekani.
 
Wangu ananisaidia kupunguza stress...Nashukuru sikufanya kosa katika kuchagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…