andiko gani linahusu kuoa kwenye biblia mkuu ,nalitafuta sana utakua umenisaidiaKutimiza maandiko ya bwana
Hakuna faida yeyote zaidi ya kufuga joka ,,(chatu)Karibu tuchangie mawazo mbalimbali kuhusiana na ndoa kwa ujumla, je ni faida gani mtu anapata pindi anapo oa ama kuolewa iwe katika nyanja zote kiuchumi, kiafya, kijamii nk.
una umri gani?Karibu tuchangie mawazo mbalimbali kuhusiana na ndoa kwa ujumla, je ni faida gani mtu anapata pindi anapo oa ama kuolewa iwe katika nyanja zote kiuchumi, kiafya, kijamii nk.
waolewaji pia mnakaribishwaWaoaji km mpo mnaitwa huku![]()
Mkishazoeana hamu hutoweka kabisa na kubaki mnaishi kqma kaka na dada. Unakuta unatamani shamba boy ama haoise girl mchakatane naye.Inakuepo mda wote unapiga
Unatimiza maandiko kwa kuoa halafu unaendelea kusema uwongo, kuchepuka, kudokoa mali za umma na kuibia wateja wa biashara yako kwa kuwapandishia bei?Kutimiza maandiko ya bwana