J Jeny faraji Senior Member Joined Jan 20, 2018 Posts 164 Reaction score 34 Feb 20, 2018 #1 Jamani natakata kujuzwa kwa wale wanaojua umuhimu wa kua na page ya facebook maana mimi sijui naona watu tu wanapenda kuwa facebook page je ina faida gani?
Jamani natakata kujuzwa kwa wale wanaojua umuhimu wa kua na page ya facebook maana mimi sijui naona watu tu wanapenda kuwa facebook page je ina faida gani?
Wick JF-Expert Member Joined Dec 19, 2012 Posts 8,312 Reaction score 12,198 Feb 20, 2018 #2 Unajua faida ya kutangaza brand!?..