Faida na hasara za kusomea IT

Faida na hasara za kusomea IT

Realbest

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
812
Reaction score
301
Tafadhali watu wa IT na wengineo natamani sana kusomea mambo ya IT.

Je, faida zake na hasara ni zipi? Vyuo gani naweza kusoma na nikawa competent? Vitu gani vya kuzingatia na kwenye soko la ajira ya sasa?
 
Tafadhali watu wa IT na wengineo natamani sana kusomea mambo ya IT.

Je Faida zake na hasara ni zipi?

Vyuo gani naweza kusoma na nikawa competent?

Vitu gani vya kuzingatia na kwenye soko la ajira ya sasa?
Elimu yangu kidato cha nne nahitaji ngazi ya certificate/diploma
 
Faida ya IT

1.utajua vitu vingi vya teknolojia
2.utaweza tengeneza mifumo mbali mbali yenye impact kubwa katika jamii yako
3.utajua kutatua matatizo ya vifaa vyako vya teknolojia kama simu, tanakilishi(computer) na vinginevyo
4.utajuana sana kwa watu wengi
5.utakuwa mtu muhimu katika jamii
6.huwezi shinda na njaa


Hasara

1.hutumia muda mwingi sana kujifunza kitu kipya
2.hutumia hesabu (kama ww ni mzembe wa hesabu) na kufikilia sana nje ya box patakuwa pagumu
3.ina hitaji uwe mfatiliaji sana wa technology duniani
4.lazima uwe mpya kila siku kichwani yani uendane na kasi ya kubadilika kwa teknolojia
5.kujitolea na msomaji wa vitabu kugundua vitu vipya
6.lazima uwe busy kuandaa project kubwa zaidi ya mwenzio

Note: Tanzania kwa IT. Ni siasa tu watu wanasoma ili wapate pesa na si kutoka moyoni,

Ukisoma kwa career kutoka moyoni utafurahia sana hii secta!
 
Tafadhali watu wa IT na wengineo natamani sana kusomea mambo ya IT.

Je, faida zake na hasara ni zipi? Vyuo gani naweza kusoma na nikawa competent? Vitu gani vya kuzingatia na kwenye soko la ajira ya sasa?
Kama unasoma IT kwa sababu maksi zimekufosi usome utapata tabu sana. Ila kama unasoma kwa kuipenda you will enjoy.
 
Tafadhali watu wa IT na wengineo natamani sana kusomea mambo ya IT.

Je, faida zake na hasara ni zipi? Vyuo gani naweza kusoma na nikawa competent? Vitu gani vya kuzingatia na kwenye soko la ajira ya sasa?
Hivi jamani IT (INFORMATION TECHNOLOGY)

na ICT(INFORMATION COMMUNICATION TECHNOLOGY)

Kuna tofauti gani kitaaluma?
 
Faida ya IT

1.utajua vitu vingi vya teknolojia
2.utaweza tengeneza mifumo mbali mbali yenye impact kubwa katika jamii yako
3.utajua kutatua matatizo ya vifaa vyako vya teknolojia kama simu, tanakilishi(computer) na vinginevyo
4.utajuana sana kwa watu wengi
5.utakuwa mtu muhimu katika jamii
6.huwezi shinda na njaa


Hasara

1.hutumia muda mwingi sana kujifunza kitu kipya
2.hutumia hesabu (kama ww ni mzembe wa hesabu) na kufikilia sana nje ya box patakuwa pagumu
3.ina hitaji uwe mfatiliaji sana wa technology duniani
4.lazima uwe mpya kila siku kichwani yani uendane na kasi ya kubadilika kwa teknolojia
5.kujitolea na msomaji wa vitabu kugundua vitu vipya
6.lazima uwe busy kuandaa project kubwa zaidi ya mwenzio

Note: Tanzania kwa IT. Ni siasa tu watu wanasoma ili wapate pesa na si kutoka moyoni,

Ukisoma kwa career kutoka moyoni utafurahia sana hii secta!
Nakushukuru sana mkuu na je ni vyuo gani vinaweza kufaa?
 
Mkuu ww ni mwana IT?
Faida ya IT

1.utajua vitu vingi vya teknolojia
2.utaweza tengeneza mifumo mbali mbali yenye impact kubwa katika jamii yako
3.utajua kutatua matatizo ya vifaa vyako vya teknolojia kama simu, tanakilishi(computer) na vinginevyo
4.utajuana sana kwa watu wengi
5.utakuwa mtu muhimu katika jamii
6.huwezi shinda na njaa


Hasara

1.hutumia muda mwingi sana kujifunza kitu kipya
2.hutumia hesabu (kama ww ni mzembe wa hesabu) na kufikilia sana nje ya box patakuwa pagumu
3.ina hitaji uwe mfatiliaji sana wa technology duniani
4.lazima uwe mpya kila siku kichwani yani uendane na kasi ya kubadilika kwa teknolojia
5.kujitolea na msomaji wa vitabu kugundua vitu vipya
6.lazima uwe busy kuandaa project kubwa zaidi ya mwenzio

Note: Tanzania kwa IT. Ni siasa tu watu wanasoma ili wapate pesa na si kutoka moyoni,

Ukisoma kwa career kutoka moyoni utafurahia sana hii secta!
 
Hivi jamani IT (INFORMATION TECHNOLOGY)

na ICT(INFORMATION COMMUNICATION TECHNOLOGY)

Kuna tofauti gani kitaaluma?
Ict ni theory lakini IT inajumuisha theory pamoja practical yaaani ufundi
 
Hakuna hasara na kama upo vizuri unaajirika na kujiajiri kirahisi..

Cha msingi tafuta watu walio katika hiyo industry wakushauri vizuri zaidi naamini humu wapo. Saka thread zao na wacheki PM
 
Hakuna hasara na kama upo vizuri unaajirika na kujiajiri kirahisi..

Cha msingi tafuta watu walio katika hiyo industry wakushauri vizuri zaidi naamini humu wapo. Saka thread zao na wacheki PM
Nakushukuru mkuu
 
Back
Top Bottom