Kwa miaka ya hivi karibuni usafiri wa pikipiki umekua ni ajira na unasaidia kurahisisha usafiri.
Kila chenye faida kina hasara.
Kwa tunakoelekea na haya mambo ya boda boda ni dhahiri upande wa hasara ni mkubwa zaidi hasa kwenye miji mikubwa kulinganisha na maeneno ya nje ya miji.
Hahahaaa faid ingine mchepuko unachukua bodaboda eneo la hatua tano unampeleka g anakuambia mwambie nauli elfu kumi buku tank yako tano yangu baadae mnagawana
Hahahaaa faid ingine mchepuko unachukua bodaboda eneo la hatua tano unampeleka g anakuambia mwambie nauli elfu kumi buku tank yako tano yangu baadae mnagawana