Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Katika mahusiano kuna kipindi mnaweza kupitia changamoto ambayo ikakufanya wewe na mwenza wako mpeane Likizo sasa kipindi hiki inatakiwa uwe makini pale mwenza wako mnaporudiana sasa leo naomba nitoe tofauti Kati ya a mtu anaekulia timing muachane na aenetaka mrudiane kwa upendo.
1. Anaetaka mrudiaene huwa yupo tayali kusamehe makosa yako anaekulia timing Hayupo tayali kusamehe makosa
2. Anaekulia timing huwa ni mgumu kuomba samahani anapokosea anaetaka mrudiane huwa yupo fasta kuomba msamaha
3. Anakulia timing hupenda kukumbushia makosa yako anaetaka mrudiane hakumbushii makosa yako
4. Anaekulia timing anajikita sana ktk kukukosoa jinsi ulivyo anaetaka mrudiane huwa anakusifia sana umebadilika
5. Anakulia timing hakutafuti mpka umtafute anaetaka mrudiane atakutafuta full time
Haya mnaweza kuendeleaaaa
1. Anaetaka mrudiaene huwa yupo tayali kusamehe makosa yako anaekulia timing Hayupo tayali kusamehe makosa
2. Anaekulia timing huwa ni mgumu kuomba samahani anapokosea anaetaka mrudiane huwa yupo fasta kuomba msamaha
3. Anakulia timing hupenda kukumbushia makosa yako anaetaka mrudiane hakumbushii makosa yako
4. Anaekulia timing anajikita sana ktk kukukosoa jinsi ulivyo anaetaka mrudiane huwa anakusifia sana umebadilika
5. Anakulia timing hakutafuti mpka umtafute anaetaka mrudiane atakutafuta full time
Haya mnaweza kuendeleaaaa