Kizaizai umeongea kwa kweli. Namna ya ku kiss ndio mpango mzima, maana kuna wengine, tobaaaa!!! hutataka arudie tena, hata ujitahidi vipi kuelekeza kwa vitendo ha respond ipasavyo. Mtu kama huyu ni talaka faster, usije ukanyofolewa kiungo :wacko:
Kizaizai umeongea kwa kweli. Namna ya ku kiss ndio mpango mzima, maana kuna wengine, tobaaaa!!! hutataka arudie tena, hata ujitahidi vipi kuelekeza kwa vitendo ha respond ipasavyo. Mtu kama huyu ni talaka faster, usije ukanyofolewa kiungo :wacko: