M Muggssy Member Joined Aug 20, 2011 Posts 70 Reaction score 11 May 5, 2012 #1 Wakku naomba kunijuza bei ya external webcam maana laptop yangu haina in built webcam. Nitashkur kwa msaada wenu wakuu
Wakku naomba kunijuza bei ya external webcam maana laptop yangu haina in built webcam. Nitashkur kwa msaada wenu wakuu
Mathias Byabato JF-Expert Member Joined Nov 24, 2010 Posts 1,043 Reaction score 759 May 5, 2012 #2 Si zaidi ya elfu 40 bongo
Munru JF-Expert Member Joined Oct 19, 2010 Posts 1,340 Reaction score 667 May 5, 2012 #3 hercules claasic silva, 35 tsh ni nzuri , nakushauri tafutaa hii kitu ,
K kiloloma Member Joined Oct 16, 2011 Posts 54 Reaction score 3 May 6, 2012 #4 laptop yako ina win ipi mara nyingi kwenye win xp picha huwa inaonekana clear sana kuwa mwangalifu wakati wa kununua
laptop yako ina win ipi mara nyingi kwenye win xp picha huwa inaonekana clear sana kuwa mwangalifu wakati wa kununua
Parata JF-Expert Member Joined Jul 26, 2011 Posts 3,090 Reaction score 692 May 6, 2012 #5 buku ishiri tu iyo mzazi we nenda kaulize ndo bei yake iyo
g.n.n JF-Expert Member Joined Oct 8, 2010 Posts 407 Reaction score 49 May 6, 2012 #6 Na mimi nitatafuta.
CORAL JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 2,827 Reaction score 1,858 May 6, 2012 #7 SAMRICH1 said: buku ishiri tu iyo mzazi we nenda kaulize ndo bei yake iyo Click to expand... Kweli hapa Mbeya ni 20,000/=
SAMRICH1 said: buku ishiri tu iyo mzazi we nenda kaulize ndo bei yake iyo Click to expand... Kweli hapa Mbeya ni 20,000/=
donlucchese JF-Expert Member Joined Mar 23, 2011 Posts 17,258 Reaction score 22,130 May 6, 2012 #8 mkuu ninayo naiuza kwa 15 plus external mic. ni model ya creative webcam
bille Member Joined Jan 24, 2012 Posts 9 Reaction score 1 May 8, 2012 #9 kama kun mtu wa arusha anauza anijulishe ninunue kwa 15 hadi 20 hata kesho
Donpela JF-Expert Member Joined Jun 30, 2011 Posts 2,040 Reaction score 592 May 8, 2012 #10 bille said: kama kun mtu wa arusha anauza anijulishe ninunue kwa 15 hadi 20 hata kesho Click to expand... mkuu nimeku p.M . . Cheki nikusaidie na ki2 kipya ase arifu
bille said: kama kun mtu wa arusha anauza anijulishe ninunue kwa 15 hadi 20 hata kesho Click to expand... mkuu nimeku p.M . . Cheki nikusaidie na ki2 kipya ase arifu