External Hard Drive yangu inaniletea ujumbe 'Please format' naomba kufahamishwa cha kufanya ili niokoe nyaraka zangu

Guus

JF-Expert Member
Jul 16, 2013
1,130
823
Wakuu habarini.

Nina "external hard drive" ambayo nimekuwa naitumia kwa muda mrefu sasa, na imehifadhi nyaraka zangu muhimu sana. Ajabu sasa hivi kila ninapoichomeka kwenye PC haifunguki, lakini kuna pop-up text inatokea kwamba niformat kwanza. Naomba kufahamishwa kama kuna namna yeyote naweza kuifungua na kuaccess nyaraka zangu?

Waasalam
 
Njia bora ni kuformat onetime kisha usihifadhi chochote tafuto tool yoyote ya kurecover yenye option ya fast scanner
fata prosija moja kuu ambayo uwe na storage ukubwa sawa na extnal yako kisha rudisha data zako

Lkn nikuulize swali ilivyokuwa inakuomba kuscan BADSECTOR ulikuwa una scan
Yaan haikuwa inakuuliza hivi
images.jpg

Km ilikuwa inakuuliza je wewe ulikuwa unakimbilia tu X km wajuba wengi wao wazee wa X tu chochote wanachoulizwa au kuombwa kufanya ni X tu au
 
pole mkuu jaribu ku turn off window defender then connect uone, km bado bas tumia device yenye OS tofauti na window,
 
Back
Top Bottom