RORYAKWETU
Member
- Nov 18, 2011
- 83
- 13
Nikupe 9000?haina matatizo?ni pm kwa mapatano kama inawezekana.
Ni Toshiba 5oogb.tsh 12000 inapungua kidogo. kama unahitaji ni pm
Loooo !! Hizi biashara za bongo, bei yako ni 12,000/=
Tizo1 anazo 9,000/=
Unataka aongeze 20,000/= achukue mzingo. Kwa hiyo bei yako ni 29,000/= na siyo 12,000/=?
Hii bei ni buku 12 au laki 1 na 20 mi cmuelewi
wabongo kwa majungu bwana, hakuna binadamu aliyekamilika 100%. sawa tufanye biashara sasa