RORYAKWETU Member Joined Nov 18, 2011 Posts 83 Reaction score 13 Jan 29, 2012 #1 Ni Toshiba 5oogb.tsh 120,000 inapungua kidogo. kama unahitaji ni pm .Imesahihishwa
T tizo1 JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 861 Reaction score 159 Jan 29, 2012 #2 Nikupe 9000?haina matatizo?ni pm kwa mapatano kama inawezekana.
RORYAKWETU Member Joined Nov 18, 2011 Posts 83 Reaction score 13 Jan 29, 2012 Thread starter #3 tizo1 said: Nikupe 9000?haina matatizo?ni pm kwa mapatano kama inawezekana. Click to expand... Ongeza 20000 niko serious nikuachie zigo
tizo1 said: Nikupe 9000?haina matatizo?ni pm kwa mapatano kama inawezekana. Click to expand... Ongeza 20000 niko serious nikuachie zigo
MAMA POROJO JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 4,974 Reaction score 793 Jan 29, 2012 #4 RORYAKWETU said: Ni Toshiba 5oogb.tsh 12000 inapungua kidogo. kama unahitaji ni pm Click to expand... Loooo !! Hizi biashara za bongo, bei yako ni 12,000/= Tizo1 anazo 9,000/= Unataka aongeze 20,000/= achukue mzingo. Kwa hiyo bei yako ni 29,000/= na siyo 12,000/=?
RORYAKWETU said: Ni Toshiba 5oogb.tsh 12000 inapungua kidogo. kama unahitaji ni pm Click to expand... Loooo !! Hizi biashara za bongo, bei yako ni 12,000/= Tizo1 anazo 9,000/= Unataka aongeze 20,000/= achukue mzingo. Kwa hiyo bei yako ni 29,000/= na siyo 12,000/=?
Monstgala JF-Expert Member Joined Aug 25, 2009 Posts 1,079 Reaction score 1,037 Jan 29, 2012 #5 Majimoto said: Loooo !! Hizi biashara za bongo, bei yako ni 12,000/= Tizo1 anazo 9,000/= Unataka aongeze 20,000/= achukue mzingo. Kwa hiyo bei yako ni 29,000/= na siyo 12,000/=? Click to expand... Ndio umuhimu wa kuweka koma katikati ya digits tatu, inaepusha kusahau iwapo namba ina zero nyingi. Kama ni biashara ya mamilioni na inafanyika online errors kama hizo zinaweza kuleta maumivu.
Majimoto said: Loooo !! Hizi biashara za bongo, bei yako ni 12,000/= Tizo1 anazo 9,000/= Unataka aongeze 20,000/= achukue mzingo. Kwa hiyo bei yako ni 29,000/= na siyo 12,000/=? Click to expand... Ndio umuhimu wa kuweka koma katikati ya digits tatu, inaepusha kusahau iwapo namba ina zero nyingi. Kama ni biashara ya mamilioni na inafanyika online errors kama hizo zinaweza kuleta maumivu.
N NAPSTAR JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 767 Reaction score 12 Jan 29, 2012 #6 Hii bei ni buku 12 au laki 1 na 20 mi cmuelewi
Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,199 Jan 29, 2012 #7 NAPSTAR said: Hii bei ni buku 12 au laki 1 na 20 mi cmuelewi Click to expand... hahaa itakuwa ya wizi hii ndo maana hata bei yenyewe anaandika as if anakimbizwa
NAPSTAR said: Hii bei ni buku 12 au laki 1 na 20 mi cmuelewi Click to expand... hahaa itakuwa ya wizi hii ndo maana hata bei yenyewe anaandika as if anakimbizwa
B Bulah JF-Expert Member Joined Aug 19, 2011 Posts 246 Reaction score 57 Jan 29, 2012 #8 Hiyo bei mwenyewe sijaielewa.
M marty JF-Expert Member Joined Aug 4, 2011 Posts 770 Reaction score 27 Jan 30, 2012 #9 hii thread yanipa kizungu zungu tu,muwekage mawasiliano basi watu wapunguze kurefusha thread
RORYAKWETU Member Joined Nov 18, 2011 Posts 83 Reaction score 13 Jan 30, 2012 Thread starter #10 wabongo kwa majungu bwana, hakuna binadamu aliyekamilika 100%. sawa tufanye biashara sasa
Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,199 Jan 30, 2012 #11 RORYAKWETU said: wabongo kwa majungu bwana, hakuna binadamu aliyekamilika 100%. sawa tufanye biashara sasa Click to expand... majungu gani bana litakuwa goma la wizi hilo ndo maana hata bei haina mrahaba
RORYAKWETU said: wabongo kwa majungu bwana, hakuna binadamu aliyekamilika 100%. sawa tufanye biashara sasa Click to expand... majungu gani bana litakuwa goma la wizi hilo ndo maana hata bei haina mrahaba
M marty JF-Expert Member Joined Aug 4, 2011 Posts 770 Reaction score 27 Jan 31, 2012 #12 weka mawasiliano yako basi