Explained: Programming Languages For Software Engineers

Hongera mtoa maada kwa thread nzuri, binafsi naamini yeyote anaweza jifunza programming kikubwa ni kuwa na passion tu

Kwanza kabsa kabsa naushauri tafuta lugha Moja usome na kuilewa vzr sana hapa nashauri sana anza na C language, kwann nakishauri uanze na C, kwa sababu asilimia kubwa ya language maarufu unazozijua au kuzitaman zipo kwenye mfumo wa c type language au zimeandikwa kwa C language hivyobasi kuilewa vzr c itakupa foundation nzuri ya kuweza kujifunza lugha nyingine kama python, java,php na nyinginezo

Kuwa na msingi mzuri wa lugha Moja vzr ni sawa na kuwa na 60% ya kujinza language yeyote hapa na recommend sana c language. Hivyo utakuwa na 40% ya kujifunza language nyingine.

Kitu kingine kabla ujajifunza language yeyote ni vzr ukajifunza historia yake ambapo itakueleza language husika ilitengeneza kwa madhumuni gani. Ikumbukwe kila language ina strength na weakness zake hivyo hakuna language bora kuliko nyingine ila tu inategemea na matumizi yako na uwezo wako wa kuweza kucheza nayo

Baada ya kujifunza C language nini kifuate

Hapa sasa inategemea na wewe inataka kutengeza nini kama web application basi kuna machaguo mengi tu mfano php, python, java, Ruby, c# na nyingine nyingi tu. Kama desktop app kuna java, c#, vb, python japo haipo vzr sana kwenye desktop na nyinginezo na kama ni mobile app kuna java, JavaScript, objective c for iOS na nyinginezo. Kwa upande wa automatation embedded systems na security basi python anafanya vzr sana. Igawaje c language pia anafanya vzr kwenye embedded systems

Nashauri utumie framework ili uweze kusave muda na nguvu zako kama unataka kufanya project yeyote kwan duaniani kwa sasa ndicho kinachofanyika

Oooh nisikuchoshe sana zifuatazo ni baadhi ya framework na languages zake

1.Web based framework
Php
Laravel
Codeigniter

Java
Spring

Ruby
Ruby on Rails

2. Embedded systems
Arduino (c, python nk)
Raspberry pi (c, python nk)

3. Mobile app
React native ( JavaScript)

Nikipata muda nitaendelea ndg zangu.

Nipo tayar kusahihishwa
 
Sio kwa vyuo vyote mkuu , nawajua watu wameingia udsm CS udom CS na hge,egm. Kinachoangaliwa zaidi ni hisabati.
Form VI (six) with at least two principal passes in Physics, Biology, Chemistry, Mathematics and Geography, with total points not below 2.5 obtained from the scoring A= 5, B+ = 4, B=3, C=2, D=1, E=0.5, F=0 for those who completed studies in year 2014 onwards. wa EGM inambeba Math na geog(nime copy sehemu)
 
Au ukiweza share any problems that you have solved using programming? Ukishamaliza then I'll share mine tuone if your statement is really valid
Kwenye Programming unajua nini?? programming sio kuandika code tu mkuu ni much more
 
Au ukiweza share any problems that you have solved using programming? Ukishamaliza then I'll share mine tuone if your statement is really valid
Sijui umenelewa vibaya lkn kuepusha shari tufanye ivi, nimekubali nilito ushauri mbaya, wewe ni expart sana kwenye hii mambo ulijifunza programming ulivyo maliza chuo umesolve matatizo mengi sana kwa code, mm bado kijana mdogo mdogo japo nilianza kujifunza PL nikiwa form 3 mpaka leo siwezi kubishana na ma-master , mtu akiwa na hata over 40 anaweza kuanza kujifunza programming akawa na mafanikio baadae (in fact mwezi wa nane kuna app ilitegenezwa na walimu canada inatwa Anura- inatumia AI ku-predict patient health status kwe kurecod self ya 30s walio itegeneza ni above 50yrs wanatumia TOI ). nadhani mpaka hapo tupo sawa sina haja ya kujua matatizo uliyo solve na sidhani kama unataka kujua mm nimefanya nini cha msingi na dhani tutakutana kwenye list ya Forbes
 
Siweza kubishana na mtu unaweza kuta tunapoteza mada wetu, Hua nakubali kushwidwa ili tuendelee na mambo mengine ya msingi. 9 law of power "Win through your Actions, Never through Argument" ndo maana nimemuambia tutakutana kwenye list yaforbes
 
bro kapanick.. A person with a right mind wouldn't have spent all that time justifying himself and being sarcastic. Poa expart (it's actually EXPERT) wa Form 3. Good day to you
 
bro kapanick.. A person with a right mind wouldn't have spent all that time justifying himself and being sarcastic. Poa expart (it's actually EXPERT) wa Form 3. Good day to you
OK sawa
 
Shukran sana boss kww kufafanua vizuri
 
Nje ya mada kidgo


Na simu apa..nikipiga au nikipigiwa mimi namsikia vizuri lakin yeye ani sikiii. kule tatzo litakua nini nime jarbu kwa simu 3 zote ivyo ivyo


Cc Chief-Mkwawa
 
Ivi kuna nn cha kushangaza mtu wa PCB kuchaguliwa cs?watu wanachaguliwa mpk hge na egm kombi ambazo ni arts provided that wana kozi za sayansi olevel na wamefaulu math both O na a level ,kwa PCB what's the big deal?

kwa nijuavyo issue sio comb. kuwa arts mfano EGM A.mathematics inambemba ila sio vyuo vyote vitampokea!
sijawasoma CS ila nkipitiaga naona vitu kama discrete maths, linear algebra and Calculus ambavyo you could argue hata watu wa BAM wanasoma but in a shallow way otherwise CS degree in combination of mathematical theories in computing!
hata historically akina Denis Ritchie wana Degree za Physics and Applied Maths.

Hivo chuo kama UDSM kwa hapa TZ au UDOM hawawezi kumpokea HGE au PCB kusoma CS au SE!
EGM UDOM anakubalika sababu wameangalia Maths kama somo la kwanza mengine ni optional!



 
Basi ww ndo huwa unakaa kwenye panel ya kuchagua watu .ww unaonyesha ushahidi wa maandishi mm nazungumzia watu ambao wamehitimu vyuo hivo!

TCU guideline hubadilika na mm nawajua watu walosoma IFM wakiwa wamemaliza PCB na hii ilitokea baada ya hawa watu kuwa wamepigwa chini rounds za selection zote....round ya mwisho ikabidi wapangiwe course ambayo hata hawakuiomba!
Principally jua kuwa mtu wa PCB na HGE hapaswi kusoma CS!
 
Huu uzi nimeupenda...ukifika kwenye Java ntakuwa na chakuchangia mimi ni expert wa mobile apps based on java and xml as shaping languah
 
Huu uzi nimeupenda...ukifika kwenye Java ntakuwa na chakuchangia mimi ni expert wa mobile apps based on java and xml as shaping languah
Endelea tu mkuu, Unaweza kuchangia kwangu mda ndo umekua tatizo kuendeleza thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…