malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Katumia lotion dk1 kusugua uume wanguKama Ana maabukizi.
Na ata sugua mpaka mikono yake ichubuke .
Yes unaweza kupata.
Katumia lotion dk1 kusugua uume wanguKama Ana maabukizi.
Na ata sugua mpaka mikono yake ichubuke .
Yes unaweza kupata.
Mwambie asihangaike na PEP masaa 72 yameshapita .Habari wadau
Baada ya miaka 4 hajaonana na demu wake jamaa kakutana na Ex wake week moja imepita jamaa alimwandaa demu na kupiga denda kila kitu cha mahaba ila akakumbuka hana kondom ila anatembea na boksi la vipimio vya ukimwi
Basi akastop akamwambia demu wapime demu kakubali wapime wote hapo hapo, majibu demu ana ngoma na jamaa mzima.
sasa jamaa amechanganyikiwa sababu kala demu denda na demu kamnyonya sehemu za siri japo hakugonga
imepita week sasa tukio litokee je anaweza kutumia PEP akapona?
Ajipime na yeye vipimo si anavyo gheto
Hapana sio rahisi....Hivi namwanamke akikupigisha puchu kwa mkono wake unaweza pata ukimwi
Acha uoga..Katumia lotion dk1 kusugua uume wangu
Unawafariji wazinziDenda haliambukizi ngoma! Jamaa atulie tu.
Labda kama alipiga ndoo mbili za denda ndio kuna uwezekano kidogo sana kupata ngoma.
Kama ingekua ngoma inaambukizwa kirahisi hivyo si tungeisha wote duniani
Tuelezee kidogo nasi Tusirudie makosa siku za mbeleni.Anaweza asipate UKIMWI, binafsi nimekoswa koswa mara 2
Ulichokisema hapo ni VVU (Virusi vya Ukimwi)Yaani ingekuta kukabwa koni na denda inaambukiza ukinwi nafiri asilimi 70 ya watu duniani wangeugua ukimwi
Kupata ukimwi siyo mchezo mchezo ,ndio maana huwa nasema Hadi mtu kapata ukimwi ujue kapambana na mbususa mno famasihala nn na ukimwi ,
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mimi nilikuwa nakunywa PEP kisha nakunywa bia mwezi mzima. Lile wenge la kulewa PEP nilishindwa kulivumilia, nikaona bora niwe nalewa nilichokizoea.Wajuvu naweza kunywa pombe baada ya muda gani nikimaliza PEP?