Upendo haugawanyiki lazima kuna unayempenda zaidi kati yao...(utaamua mwenyewe ni yupi)Habarini za siku wana jf
Nilikuwa na mchumba wangu kwa miaka 3,
Tuliachana kwa kuwa nilimpa ela ya mkopo akafanyie biashara yeye akachukua ela kwenda kufanyia matumizi yake binafsi kama kukarabati nyumba ya baba yake na nyingine akafanyia biashara , kwa kifupi alinidhurumu pesa yangu,
Alidai ameniacha na amenidhurumu hzo pesa kwa kuwa nina mtoto nae, hvyo pesa itamsaidia kumjengea maisha mtoto.
Sababu ya kufanya hvyo ni kwa kuwa nilimsaliti .
Baadae mtoto wetu Alifariki , nikamwambia turudiane mana nilijihisi hasara sana mana pesa ile nilifikiri itamsaidia na mwanangu na sikuona maumivu kudhurumiwa, sasa mwanangu amefariki. Nikaona basi turudiane nimpe ujauzito mwingine, nilitaka tuishi pamoja, akakataa na kusema anataka kwenda kusoma .Mi sikuona haja ya kuendelea nae .
Nikaanzisha mahusiano na mwanamke mwingine ambaye alikuwa mpenzi wangu wazamani ambaye tulipendana sana.
Ex wangu aliposikia nataka kuoa alikuja kwangu na kuniambia sasa hatoenda shule atabaki tuishi pamoja kama kusoma atasoma open university ,nampenda sana uyu binti ,nilimjibu haiwezekani kurudiana, alilia sana na kujuta sana,
Sasa nimeoa mwanamke ambaye nampenda naye ananipenda na wala sitaki kumkosa,yule ex wangu bado ananililia anadai ananipenda sana anataka awe hawala yangu na nizae nae .
Naogopa mke wangu akija kujua na pia naona hasara ex wangu anamiliki vitu vingi vya kwangu na biashara ,karibuni kuchangia wadau.
Habarini za siku wana jf
Nilikuwa na mchumba wangu kwa miaka 3,
Tuliachana kwa kuwa nilimpa ela ya mkopo akafanyie biashara yeye akachukua ela kwenda kufanyia matumizi yake binafsi kama kukarabati nyumba ya baba yake na nyingine akafanyia biashara , kwa kifupi alinidhurumu pesa yangu,
Alidai ameniacha na amenidhurumu hzo pesa kwa kuwa nina mtoto nae, hvyo pesa itamsaidia kumjengea maisha mtoto.
Sababu ya kufanya hvyo ni kwa kuwa nilimsaliti .
Baadae mtoto wetu Alifariki , nikamwambia turudiane mana nilijihisi hasara sana mana pesa ile nilifikiri itamsaidia na mwanangu na sikuona maumivu kudhurumiwa, sasa mwanangu amefariki.
Nikaona basi turudiane nimpe ujauzito mwingine, nilitaka tuishi pamoja, akakataa na kusema anataka kwenda kusoma .Mi sikuona haja ya kuendelea nae .
Nikaanzisha mahusiano na mwanamke mwingine ambaye alikuwa mpenzi wangu wazamani ambaye tulipendana sana.
Ex wangu aliposikia nataka kuoa alikuja kwangu na kuniambia sasa hatoenda shule atabaki tuishi pamoja kama kusoma atasoma open university ,nampenda sana uyu binti ,nilimjibu haiwezekani kurudiana, alilia sana na kujuta sana,
Sasa nimeoa mwanamke ambaye nampenda naye ananipenda na wala sitaki kumkosa,yule ex wangu bado ananililia anadai ananipenda sana anataka awe hawala yangu na nizae nae .
Naogopa mke wangu akija kujua na pia naona hasara ex wangu anamiliki vitu vingi vya kwangu na biashara ,karibuni kuchangia wadau.
Acha ujinga,ukushaoa unakuwaje tena hawara?Habarini za siku wana jf
Nilikuwa na mchumba wangu kwa miaka 3,
Tuliachana kwa kuwa nilimpa ela ya mkopo akafanyie biashara yeye akachukua ela kwenda kufanyia matumizi yake binafsi kama kukarabati nyumba ya baba yake na nyingine akafanyia biashara , kwa kifupi alinidhurumu pesa yangu,
Alidai ameniacha na amenidhurumu hzo pesa kwa kuwa nina mtoto nae, hvyo pesa itamsaidia kumjengea maisha mtoto.
Sababu ya kufanya hvyo ni kwa kuwa nilimsaliti .
Baadae mtoto wetu Alifariki , nikamwambia turudiane mana nilijihisi hasara sana mana pesa ile nilifikiri itamsaidia na mwanangu na sikuona maumivu kudhurumiwa, sasa mwanangu amefariki.
Nikaona basi turudiane nimpe ujauzito mwingine, nilitaka tuishi pamoja, akakataa na kusema anataka kwenda kusoma .Mi sikuona haja ya kuendelea nae .
Nikaanzisha mahusiano na mwanamke mwingine ambaye alikuwa mpenzi wangu wazamani ambaye tulipendana sana.
Ex wangu aliposikia nataka kuoa alikuja kwangu na kuniambia sasa hatoenda shule atabaki tuishi pamoja kama kusoma atasoma open university ,nampenda sana uyu binti ,nilimjibu haiwezekani kurudiana, alilia sana na kujuta sana,
Sasa nimeoa mwanamke ambaye nampenda naye ananipenda na wala sitaki kumkosa,yule ex wangu bado ananililia anadai ananipenda sana anataka awe hawala yangu na nizae nae .
Naogopa mke wangu akija kujua na pia naona hasara ex wangu anamiliki vitu vingi vya kwangu na biashara ,karibuni kuchangia wadau.
Una umri wa miaka mingapi?Habarini za siku wana jf
Nilikuwa na mchumba wangu kwa miaka 3,
Tuliachana kwa kuwa nilimpa ela ya mkopo akafanyie biashara yeye akachukua ela kwenda kufanyia matumizi yake binafsi kama kukarabati nyumba ya baba yake na nyingine akafanyia biashara , kwa kifupi alinidhurumu pesa yangu,
Alidai ameniacha na amenidhurumu hzo pesa kwa kuwa nina mtoto nae, hvyo pesa itamsaidia kumjengea maisha mtoto.
Sababu ya kufanya hvyo ni kwa kuwa nilimsaliti .
Baadae mtoto wetu Alifariki , nikamwambia turudiane mana nilijihisi hasara sana mana pesa ile nilifikiri itamsaidia na mwanangu na sikuona maumivu kudhurumiwa, sasa mwanangu amefariki.
Nikaona basi turudiane nimpe ujauzito mwingine, nilitaka tuishi pamoja, akakataa na kusema anataka kwenda kusoma .Mi sikuona haja ya kuendelea nae .
Nikaanzisha mahusiano na mwanamke mwingine ambaye alikuwa mpenzi wangu wazamani ambaye tulipendana sana.
Ex wangu aliposikia nataka kuoa alikuja kwangu na kuniambia sasa hatoenda shule atabaki tuishi pamoja kama kusoma atasoma open university ,nampenda sana uyu binti ,nilimjibu haiwezekani kurudiana, alilia sana na kujuta sana,
Sasa nimeoa mwanamke ambaye nampenda naye ananipenda na wala sitaki kumkosa,yule ex wangu bado ananililia anadai ananipenda sana anataka awe hawala yangu na nizae nae .
Naogopa mke wangu akija kujua na pia naona hasara ex wangu anamiliki vitu vingi vya kwangu na biashara ,karibuni kuchangia wadau.
Kama hujui kupenda hujawah kupenda. Na usiombe ukapenda.Hivi upendo unafananaje? Unaonekana? Ukoje? Una rangi gani? Vipi uko kama maji au upo kama ugali?
Tuache ujinga
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kwanini always mnatafuta michepuko tegemezi?Habarini za siku wana jf
Nilikuwa na mchumba wangu kwa miaka 3,
Tuliachana kwa kuwa nilimpa ela ya mkopo akafanyie biashara yeye akachukua ela kwenda kufanyia matumizi yake binafsi kama kukarabati nyumba ya baba yake na nyingine akafanyia biashara , kwa kifupi alinidhurumu pesa yangu,
Alidai ameniacha na amenidhurumu hzo pesa kwa kuwa nina mtoto nae, hvyo pesa itamsaidia kumjengea maisha mtoto.
Sababu ya kufanya hvyo ni kwa kuwa nilimsaliti .
Baadae mtoto wetu Alifariki , nikamwambia turudiane mana nilijihisi hasara sana mana pesa ile nilifikiri itamsaidia na mwanangu na sikuona maumivu kudhurumiwa, sasa mwanangu amefariki.
Nikaona basi turudiane nimpe ujauzito mwingine, nilitaka tuishi pamoja, akakataa na kusema anataka kwenda kusoma .Mi sikuona haja ya kuendelea nae .
Nikaanzisha mahusiano na mwanamke mwingine ambaye alikuwa mpenzi wangu wazamani ambaye tulipendana sana.
Ex wangu aliposikia nataka kuoa alikuja kwangu na kuniambia sasa hatoenda shule atabaki tuishi pamoja kama kusoma atasoma open university ,nampenda sana uyu binti ,nilimjibu haiwezekani kurudiana, alilia sana na kujuta sana,
Sasa nimeoa mwanamke ambaye nampenda naye ananipenda na wala sitaki kumkosa,yule ex wangu bado ananililia anadai ananipenda sana anataka awe hawala yangu na nizae nae .
Naogopa mke wangu akija kujua na pia naona hasara ex wangu anamiliki vitu vingi vya kwangu na biashara ,karibuni kuchangia wadau.
Haukuwa mchepuko alikuwa kama mke kabisa na niliwah kuishi nae, ila tumekuwa na ugomvi wa mara kwa mara .Kwanini always mnatafuta michepuko tegemezi?
Mi naona amesimulia, sijamwelewa hata hivyo. U wapi Evelyn, nimekumiss mamiloo!Umesimulia au unataka ushauri?
🤔🤔🤔🤔 Tumia hata ¼ ya ubongo wakoHabarini za siku wana JF
Nilikuwa na mchumba wangu kwa miaka 3, Tuliachana kwa kuwa nilimpa hela ya mkopo akafanyie biashara yeye akachukua hela kwenda kufanyia matumizi yake binafsi kama kukarabati nyumba ya baba yake na nyingine akafanyia biashara, kwa kifupi alinidhurumu pesa yangu.
Alidai ameniacha na amenidhurumu hizo pesa kwa kuwa nina mtoto naye, hivyo pesa itamsaidia kumjengea maisha mtoto. Sababu ya kufanya hivyo ni kwa kuwa nilimsaliti.
Baadaye mtoto wetu alifariki, nikamwambia turudiane mana nilijihisi hasara sana mana pesa ile nilifikiri itamsaidia na mwanangu na sikuona maumivu kudhurumiwa, sasa mwanangu amefariki.
Nikaona basi turudiane nimpe ujauzito mwingine, nilitaka tuishi pamoja, akakataa na kusema anataka kwenda kusoma. Mi sikuona haja ya kuendelea naye. Nikaanzisha mahusiano na mwanamke mwingine ambaye alikuwa mpenzi wangu wa zamani ambaye tulipendana sana.
Ex wangu aliposikia nataka kuoa alikuja kwangu na kuniambia sasa hatoenda shule atabaki tuishi pamoja kama kusoma atasoma open university, nampenda sana huyu binti, nilimjibu haiwezekani kurudiana, alilia sana na kujuta sana.
Sasa nimeoa mwanamke ambaye nampenda naye ananipenda na wala sitaki kumkosa, yule ex wangu bado ananililia anadai ananipenda sana anataka awe hawala yangu na nizae naye.
Naogopa mke wangu akija kujua na pia naona hasara ex wangu anamiliki vitu vingi vya kwangu na biashara, karibuni kuchangia wadau.
Kumbuka pia hata huyo mke wake nae alikua ni Ex wake.Achana na michepuko baki njia kuu jenga maisha yenu
Ni kweli niligombana na ex wangu tukaachana nikawa na mke wangu baadae nikamrudia ex wangu kwa kuwa nimezaa nae tulee mtoto kumbe mwenzangu ananiweka kwenye target anifanyie jambo kubwa la kuniumiza kwa kitendo hcho alichokiona kama nimemsaliti wakati tulikuwa tumeachana, baadae nikaachana nae baada ya kunidhurumu pesa na nikamrudia uyu mke wangu mana nilimuacha bila sababu yoyote.Kumbuka pia hata huyo mke wake nae alikua ni Ex wake.