Unga wa Kitarasa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 398
- 99
Yani wanaomsifia Evelyn natmani niwa- Ufoo Saro.Liwivu linavyonisumbua hapa.
Me kwakweli sijawahi kumwona but daaa NAMPENDA huyu dada mie jamani.
Naogopa hata kum-PM,niruhusu basi mama Evelyn salt
Hahahahahahahaaaa!
Thiled mengine dha kutiana wivu! Mwee!
...
Ngoja na Mathaksidho aweke neno hapo!
Kiukweli hao wanne (wote kwa pamoja) nawakubaligi thaana!
Heaven on Earth Idh intelligent and mith indipendenth and joy! I love her thoo much! (edh ma thithta)
Evelyn Salt idh intelligent and funny and direct! I love her thoo much! (romantiki kabitha hata kama ameolewa! Lol!)
miss chagga idh intelligent and flexible and social! I love her thoo much (edh friend)
miss neddy idh intelligent and brave and placid! I love her thoo much! (edh my shem) Hahahahahaaa!
...
Evelyn Salt sorry kwa huo uandishi nakumbuka ulinikataza! (calm down natumia leo tu!)
okey jambo umemaliza kibarua
Umzima weye?
Nyoosha maelezo, kama sjakusoma vile! Kibarua gani hicho?
cha mtihani
Hahahahaaa! Bado miss chagga, tunategemea kuanza wiki ya mwisho ya mwezi tulionao!
Kwani ile party ya Jf ya June 2014 imeishia wapi?
Wote wana uwezo mkubwa...ila kuna kitu kinaitwa "first among equal"....miss chagga rocks my world!!
Took not he?
Oh maamah!
Ok! Nakutakia siku njema!
Jamani Vaislay .... DahhhNimevuta hisia nimeona dushe ni tamu kuliko chochote.....
Kwa mtazamo wangu hawa nathubutu kusema ni ma-super star wa MMU, tuwatathamini kwa mada au comment zao nani mkali zaidi ya mwenzake, kwa men unaruhusiwa kuvuta hisia kwa kupima comment zao nani mtamu zaidi ya mwengine.
Haya ni mawazo tu jameni musijenge chuki.