S Sharo hiphop JF-Expert Member May 17, 2011 660 100 May 24, 2011 #1 Hawa watu wanaotumia jf lv conct kusaka wachumba huwa wanafanikiwa? Na nyie mnaofanya hivyo muwe mnatupa ushuhuda, sio tunakuwa wote kuchangia halafu kitu chako unakula mwenyewe.
Hawa watu wanaotumia jf lv conct kusaka wachumba huwa wanafanikiwa? Na nyie mnaofanya hivyo muwe mnatupa ushuhuda, sio tunakuwa wote kuchangia halafu kitu chako unakula mwenyewe.
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,843 59,530 May 24, 2011 #2 Ungeandika kule sasa....huwezi kuuliza wanasiasa swali linalohusiana na siasa MMU au JF Doctor!
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,712 May 24, 2011 #3 Lizzy said: Ungeandika kule sasa....huwezi kuuliza wanasiasa swali linalohusiana na siasa MMU au JF Doctor! Click to expand... Usijali ameingia choo cha kike!Atakimbia mwenyewe!
Lizzy said: Ungeandika kule sasa....huwezi kuuliza wanasiasa swali linalohusiana na siasa MMU au JF Doctor! Click to expand... Usijali ameingia choo cha kike!Atakimbia mwenyewe!
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,215 May 24, 2011 #4 kuchangia kweli ni uchaguzi wao hata kama ni JF member lakini bado wanaweza kufanya siri au LA..
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,712 May 24, 2011 #5 afrodenzi said: kuchangia kweli ni uchaguzi wao hata kama ni JF member lakini bado wanaweza kufanya siri au LA.. Click to expand... Yap!Hii poa!
afrodenzi said: kuchangia kweli ni uchaguzi wao hata kama ni JF member lakini bado wanaweza kufanya siri au LA.. Click to expand... Yap!Hii poa!
Gagurito JF-Expert Member Feb 11, 2011 5,600 804 May 25, 2011 #6 hii thread hapa si mahala pake! Pupuuu nasepa!