ndandawamalenja
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 548
- 658
Itakuwa kila sehemu akitumbukia ANAELEA!!!!!! Ikabidi aombe ushauri manake ni TRATRA!!!!!!!!!
Itakuwa kila sehemu akitumbukia ANAELEA!!!!!! Ikabidi aombe ushauri manake ni TRATRA!!!!!!!!!
Bila shaka huko anakotumbukia huwa anavaa boya ndio maana anaelea,la sivyo angezama kabisa!!!!
lara 1 vijana wa siku hizi wanatumbukia bila kuwa makini,matokeo yake wanaishia kwenye mabwawa yenye kina kirefu na hata yenye tope tupu.Halafu wanajiona hawana ufundi wa kupiga mbizi.
lara 1 we unamshauri nn?
jiranii naona mekunwa sana na mitumbukio ya hovyohovyo..
"Kuna mtu ameandika kwa Aunt Bettie (gazeti la mwananchi) anaomba ushauri eti uume wake mdogo afanyeje? Sasa tunajiuliza ameulinganisha na wanani na aliuona vipi? Kuna mtu ana wazo lolote? Sasa huyo aunt Bettie alivyomshauri ndio kituko kabisa. Kamwambia aongee na mama yake asione aibu kwa sababu ndiye aliyemzaa!!!! Ushauri mwingine!!!"
hapo kwa wamasai nakuunga mkono aje hapa manzese bakhresa atawakutaNamshauri ajtahidi kuzama maneo yasiyo hatarishi kama kwa watu wa umri wake, akiona na huko anaelea ajaribu kutafuta bikra, akiona bado anaelea awaone wamasai!
amtafute MziziMkavu anayo dawa ya kuongeza dushelele...
Namshauri ajtahidi kuzama maneo yasiyo hatarishi kama kwa watu wa umri wake, akiona na huko anaelea ajaribu kutafuta bikra, akiona bado anaelea awaone wamasai!