Katika kufuatilia sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi kupitia TBC nimeshangaa kumsikia mheshimiwa Rage akituma ujumbe akisema katumwa na wananchi wa mkoa wa Tabora, huu ni uongo mtupu.
Katumwa nini? Kwanza kiongoz gani mwenye uchu wa madaraka, siasa yeye mpira yeye, ata huo mpira umemshnda kazi kuaribu 2 maisha ya wana tabora! Tangu lini mkimbizi akawa na uchungu na wanachi halali wa nchi aliyopo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.