Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
uun 2 amna lolotebinafsi mwanzo niliamin kuwa kweli huenda watu wako makini na wanahitaji wachumba kweli! lakini kadili siku zinavyozidi kwenda nimegundua kuwa ni mchezo tu na wanaopost mada hizi hufanya hivyo kuwaenjoy wachangiajia. nasema hivyo kwa sababu unaweza kukuta mada nyingi zinatafuta wachumba na wanaoanzisha wanajinsia tofauti. kwanini huyo mwanaume au mwanamke asimtafute muhusika kupitia mada iliyoanzishwa kuliko kuanzisha nyingine kama hiyo? pia mbona hatupat feedback kwa waliofanikiwa?
Ughekuwa na uwezo wa kuaccess PM za watu ndo ungeelewa maana yake.....:tape:
Unajua kuna watu hawajawahi kupata pm hata moja ndio maana anasemaa tu
Why not?wewe nae bwana yaani kweli mtu na akili zake atafute mke/mume online....anayetafuta ujue yupo desparate au anataka kugegeda/dwa
binafsi mwanzo niliamin kuwa kweli huenda watu wako makini na wanahitaji wachumba kweli! lakini kadili siku zinavyozidi kwenda nimegundua kuwa ni mchezo tu na wanaopost mada hizi hufanya hivyo kuwaenjoy wachangiajia. nasema hivyo kwa sababu unaweza kukuta mada nyingi zinatafuta wachumba na wanaoanzisha wanajinsia tofauti. kwanini huyo mwanaume au mwanamke asimtafute muhusika kupitia mada iliyoanzishwa kuliko kuanzisha nyingine kama hiyo? pia mbona hatupat feedback kwa waliofanikiwa?
binafsi mwanzo niliamin kuwa kweli huenda watu wako makini na wanahitaji wachumba kweli! lakini kadili siku zinavyozidi kwenda nimegundua kuwa ni mchezo tu na wanaopost mada hizi hufanya hivyo kuwaenjoy wachangiajia. nasema hivyo kwa sababu unaweza kukuta mada nyingi zinatafuta wachumba na wanaoanzisha wanajinsia tofauti. kwanini huyo mwanaume au mwanamke asimtafute muhusika kupitia mada iliyoanzishwa kuliko kuanzisha nyingine kama hiyo? pia mbona hatupat feedback kwa waliofanikiwa?
Why not?
thats just a perception there isnt special place to meet your beloved.wewe nae bwana yaani kweli mtu na akili zake atafute mke/mume online....anayetafuta ujue yupo desparate au anataka kugegeda/dwa
thats just a perception there isnt special place to meet your beloved.
Naona ww zitakuwa zinamwagika eee.....Unajua kuna watu hawajawahi kupata pm hata moja ndio maana anasemaa tu
Mleta maada itabidi aandae notice kwa ajili yakoSijaelewa