Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
binafsi mwanzo niliamin kuwa kweli huenda watu wako makini na wanahitaji wachumba kweli! lakini kadili siku zinavyozidi kwenda nimegundua kuwa ni mchezo tu na wanaopost mada hizi hufanya hivyo kuwaenjoy wachangiajia. nasema hivyo kwa sababu unaweza kukuta mada nyingi zinatafuta wachumba na wanaoanzisha wanajinsia tofauti. kwanini huyo mwanaume au mwanamke asimtafute muhusika kupitia mada iliyoanzishwa kuliko kuanzisha nyingine kama hiyo? pia mbona hatupat feedback kwa waliofanikiwa?