Eti mwamamke haachwi anapunguziwa tu mawasiliano

Yaani kama tumeachana ndo kwa heri i see, wanaume wengine waamejijengea mawazo kichwani kuwa kwenye mahusiano au lolote lihusulo hayo wao wna power ya kuamua kwa ma x wao...which is wrong.
 
Inategemea na mtu bwana me hata unikune mpaka kwenye mapafu kama its over haiwezi jirudia kamwe nimesha move on wanaokubali ni wajinga wahajui wanataka nini
ukiona wote wametaka na ukakataa basi ujue they never knew your weakness!
ila sikupingi kama unajitambua go right through!
 
Tatizo mnaweka ngono kuwa ndio centre ya kila mahusiano... kama unaazisha mahusiano just kwa sababu ya kupata papuchi basi utakuwa huna akili na kama ni mimi bora niende Kona bar, au buguruni nikaokote kule. Uhusiano wa kimapenzi au ndoa unahusisha mchangamano wa mambo mengi sana na kufanya mapenzi ni hitimisho la kupendana kwenu.

Kuna watu walianzia kwenye urafiki, wakafanya mambo mengi ya kielimu, kiuchumi na hata kijamii wakiwa ni wapenzi sasa unadhani kushindwa kuoana ndio kutenganishe huo ukaribu na mawasiliano yao. kama unajiamini kwa ulie nae huna sababu ya kuhofia his/her past kwa kuwa ameamua kuwa na wewe wakati ambao huyo aliemuacha pia alikuwepo. Tatizo sio kupata kitu kilicho bora ila ni kuretain hicho ulichokipata na kikifanya kuwa chako, ukiweza hilo basi mchezo umeisha.

Usinidanganye hamna mtoto hapa! eti mnaweza kuwa na urafiki wa kawaida! huyo ambaye ni ex wako na unawasiliana naye ni wazi tu hajaona chochote alichosahau kufanya kwako lakini akikutamani tena anakung'oa vizuri tena kiulainiiiiiiiiiiiiiiii tena unampelekea mwenyewe!
 
Tatizo mnaweka ngono kuwa ndio centre ya kila mahusiano... kama unaazisha mahusiano just kwa sababu ya kupata papuchi basi utakuwa huna akili na kama ni mimi bora niende Kona bar, au buguruni nikaokote kule. Uhusiano wa kimapenzi au ndoa unahusisha mchangamano wa mambo mengi sana na kufanya mapenzi ni hitimisho la kupendana kwenu.

Kuna watu walianzia kwenye urafiki, wakafanya mambo mengi ya kielimu, kiuchumi na hata kijamii wakiwa ni wapenzi sasa unadhani kushindwa kuoana ndio kutenganishe huo ukaribu na mawasiliano yao. kama unajiamini kwa ulie nae huna sababu ya kuhofia his/her past kwa kuwa ameamua kuwa na wewe wakati ambao huyo aliemuacha pia alikuwepo. Tatizo sio kupata kitu kilicho bora ila ni kuretain hicho ulichokipata na kikifanya kuwa chako, ukiweza hilo basi mchezo umeisha.

Umenena ukweli watu wengi wanawaza ngono tu, wanaume hujiona mshindi pale anapomfikisha mwanamke anaona ndio security yake katika mahusiano ndipo naposema wanakutana na wanawake ambao hawajui hitaji lao
 
Kumbeee, sikuwhi kujua i seee...labda nikuulize swali sosoliso, hizo connections ni zaajae hasa?

Ha ha ha KOKUTONA.. kwa mfano kuna binti mmoja ambae nilifanya nae matusi zamani.. baadae tukatengana ila ushkaji ukaendelea.. later alikuja kunisaidia kupata tenda kwenye kampuni ambayo yeye anaifanyia kazi..
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha KOKUTONA.. kwa mfano kuna binti mmoja ambae nilifanya nae matusi zamani.. baadae tukatengana ila ushkaji ukaendelea.. later alikuja kunisaidia kupata tenda kwenye kampuni ambayo yeye anaifanyia kazi..

Ahaaaaaaa...okey. Swali jingine. Na matusi mnaendelea au?
 
hata mwanaume haachwi vile vile, unampumzisha tu kwa muda, mara moja moja unakumbushia ukimpelekea akufixie laptop ikiharibika, na vi-lunch vya hapa na pale. hii inaleta changamoto kwenye your current relationship kama ni ndoa au uchumba au bf tu
 
Wanawake wengi uliokutana nao kimwili huitaji kutongoza km mmeachana vizuri kila kitu waweza pata iwe sex, pesa, kazi au dili ni rahisi tu!
 
Nivea mwanamke ni ua kumpunguzia mawasiliano nikumfanya muwe marafiki ila sidhani kama nivibaya kwani siyo kama kumwambia basi!
 
Last edited by a moderator:
kukata mawasiliano kiujumla si vyema!

sometimes you have to make a secret love with your ex!

and, utaponea wapi siku maji yakimwagika uliyonayo kwa sasa?

kula kwa mtindo wa panya.. men's style!
 
Back
Top Bottom