Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Enyi wapinzani, ni nani aliyewaroga? Hata msijue kwamba kuna Serikali na kwamba taratibu za kiulinzi na Kiusalama ni muhimu zaidi kuliko haki yenu ya kukusanyika na kuzomea?? Ina maana mngetawala ninyi mngeacha mambo yaende kiholela na kwamba watu wangejichukulia sheria mkononi, wasingeheshimu Mamlaka zilizopo, wangefurahi kuona Viongozi wenu wakitukanwa na wakosaji kuchangiwa faini Mahakamani??? Majizi yangeachwa yatambe na kupigiwa makofi kwa kuifilisi Nchi? Wazembe kazini wangeshangiliwa chini ya Serikali yenu ya UKAWA? Ndio UKAWA hiyo? Kama ndivyo, hatuwachagui UKAWA MILELE!!
Kama hicho ndicho mnachokusudia kufanya mkipata madaraka, basi ni bora msiende kabisa Ikulu milele na milele , Amina!!
Kama hicho ndicho mnachokusudia kufanya mkipata madaraka, basi ni bora msiende kabisa Ikulu milele na milele , Amina!!