Eti! jamani nifanye ukafiri?


Sasa lara 1 kipi ambacho unataka tumshirikishe Mungu kama si hiki?

Fikiria hili;

1. Mdogo wake ana maisha yake
2. Daud omar ana maisha yake pia na akiamua kufanya hivyo unavyomsupport atakuwa ameingia kwenye chain ndefu sana hatarishi ya kuambukizwa VVU

Kumuomba Mungu hakuna mipaka. Amuachie Mungu na yeye ndiye mwenye mamlaka yote.
 
Last edited by a moderator:

Ukafiri ni nini...?
 

It is absurd trying to prevent young people from having sex.....! Ni jambo zuri kuwa mdogo wako kapata opportunity ya kujiliwaza. Labda nikubaliane na wewe kuwa huyo anayetembea nae sio rika lake. Ungekuwa kaka strategist ungemtengenezea dogo mazingira ya kuliwa na madogo wenzake.....lakini hili la kuumia kwa vile analiwa uroda ni ujinga mtupu....!

Tufike mahali tukubali nguvu za maumbile ni kubwa na zina msukumo wa kipekee kwa vijana......!
 

Yap! like a man
 
Moto hauzimwi na moto kaka

dawa ya moto ni moto, hiyo iko wazi, ingawa tafsiri yake haimaanishi ulipe kisasi kwa kufanya uasi. Daud omar hatua za kuchukua baada ya kumkanya mdogo wako ni kumkanya huyo jamaa, asipoelewa una haki ya kulifikisha hilo swala mbele ya sheria kwa hatua za kisheria kwani kutembea na mwanafunzi ni kosa kisheria.

Akigundua au ukifumaniwa unatembea na mkewe unaweza kufanyiwa usodoma na sio ukafiri tena.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaa!
Mazombi tupo wengii!
...
Jamaa angemla mkeo ningesapoti mipango yako!
...
Kuna njia nyengine m'badala ya kutatua tatizo lako: just weka tego! Akinasa unamshtua mkewe!
Au
M'bandue mdogo wake! Unahakikisha unakula minamba kama anavyoliwa mdogo wako!!!!

 
Take this scenario: Wewe ndi mlezi wa huyu binti. Wewe ni Mzazi. Binti kapevuka, mwili una msukumonwa mapenzi. Kama mzazi/mlezi ungependa kumwona binti akimaliza vema masomo ili ajitegemee (umeshatumia raslimali nyingi na una matumaini makubwa juu ya future yake na wadogo zake kama yeye atajishughulisha). Unapata matokeo ya hovyo kutoka shuleni. unadadisi na kukuta sababu ni mapenzi na anayehusika ni baba mwenye familia yake. Binti ni familia yako, anayemharibu anayo yake ambayo asingependa iharibiwe. Hebu jivike hali hiyo kwanza. Je, utasema unamwachia Mungu ili mwanao aendelee kugegedwa na baba mwenye wanae anaowalinda wasibakwe? Hata huyo Mungu Imeandikwa huwasaidia wanaojibidisha kujikwamua!
Mkuu, hicho kikao ni muhimu kikafanyika, ukweli usemwe kwa busara ili kumwokoa binti na pia kumuadabisha huyo kubwanjinga!

PP
 
Itaki laha
Ghabudu llwaha wakana katarahu wailam tarahu wama hum waraka
Adhabi la yunsa almaliku laaayamutu kama dinu tudani
 
Confussed totally..

Hee..am nt bhana i waz tryin to tel lara1 asitumia sana lugha ya watu kuadress issues au most so kumadvice mtu koz ts possible labda mhusika asielewe sana..niwie radhi mie
 
  • Kitakachofuata wewe Unapewa Ukimwi kutoka kwa huyo Mke wa mshkaji
  • Mdogo wako pia anaambukizwa na huyo mshkaji

Don't even think abt it. Wote mnaukwaa kutoka kwa huyo Mtu.
 
mkuu Jino kwa Jino bana,we watawanye wote mke na mdogo wake kama watakupa
 
Hee..am nt bhana i waz tryin to tel lara1 asitumia sana lugha ya watu kuadress issues au most so kumadvice mtu koz ts possible labda mhusika asielewe sana..niwie radhi mie

Usjali mkuu si unajua tena maswala ya lugha tena, ila hvyo hvyo ujumbe unafika
 
Njemba inafanya kazi ya kuendesha magari makubwa na ni lazima tu huko njiani inakopita itakuwa inaokota okota wanawake wa kila aina bila kujali afya yake, halafu nawe unataka kwenda kuingiza dudu lako kwa mkewe!!!! Kweli akili ni nywele....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…