Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 474
PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!! This got nothin to do with God! Aint nothin neither devine nor Godly about this shit! So dont you dare bring God to hell unnecessarily!!!!!!!
Dont you think its a bit selfish to call higher powers to handle your dirty laundry, or do your dirty works which you couldnt handle your self!!!!!!!!!??????????
BOY dont let them twist you! This shit is about YOUR SISTERS HONOR AND YOU LIVING UP THAT "BROTHER" TITLE AND HONOR!!!!!!
Kwanza hebu ngoja ni tangulize salamu
Habari zenu wadau, hivi munajua dawa ya moto ni moto? na chuma hakikatwi bali na chuma chenza?
Hebu ngoja niende kwenye maada husika
kuna jamaa anatembea na mdogo wangu wakike wa mwisho na ndo kwnza yupo 4m4 na yey ana mke na watoto wawili na mkewe hajui kuhusu hili swala 2memkanya sana mdogo wangu nae ndo haskii la muazini wala muweka maji mskitini, shuleni anafeli hataki kusoma yani shida
Sasa jamaa amepata kazi ya udereva wa magari makubwa amesafiri inapata wiki sasa, kijana wenu kama kwaida yangu na mawazo ya kulipa kisasi nimefanya mandinga mpaka nimepata no. ya mkewe nimetupa mawe yeye kamwaga nyuki(yani kanikubalia) na "waswahili wanasema ukimla kuku wa mwenzio miguu itakurudia" leo nina appointment ya usiku na mkewe, halafu kuna mdogo wake kike amekuja kutoka mkoa kuwatembelea nae nataka kumuonesha mji kidogo, Sio kama napenda kufanya hiv ila hakuna anaependa kuona kwake kunaharibika, Au munanishauri nini wadau kabla hakuja haribika.. agghhrr!! yani dah!
Kwanza hebu ngoja ni tangulize salamu
Habari zenu wadau, hivi munajua dawa ya moto ni moto? na chuma hakikatwi bali na chuma chenza?
Hebu ngoja niende kwenye maada husika
kuna jamaa anatembea na mdogo wangu wakike wa mwisho na ndo kwnza yupo 4m4 na yey ana mke na watoto wawili na mkewe hajui kuhusu hili swala 2memkanya sana mdogo wangu nae ndo haskii la muazini wala muweka maji mskitini, shuleni anafeli hataki kusoma yani shida
Sasa jamaa amepata kazi ya udereva wa magari makubwa amesafiri inapata wiki sasa, kijana wenu kama kwaida yangu na mawazo ya kulipa kisasi nimefanya mandinga mpaka nimepata no. ya mkewe nimetupa mawe yeye kamwaga nyuki(yani kanikubalia) na "waswahili wanasema ukimla kuku wa mwenzio miguu itakurudia" leo nina appointment ya usiku na mkewe, halafu kuna mdogo wake kike amekuja kutoka mkoa kuwatembelea nae nataka kumuonesha mji kidogo, Sio kama napenda kufanya hiv ila hakuna anaependa kuona kwake kunaharibika, Au munanishauri nini wadau kabla hakuja haribika.. agghhrr!! yani dah!
A3udhu bilahi mina Sheytani rajim:- Mlaani shetani "take care baadhi ya Madereva hubebaga VVU" pili UkiDu na mke wa mtu hapo Double Dhambi tabu kufutika, tatu Zinaa halipwi kwa Zinaa, nne ukivunja nyumba nayako ikosiku itavunjwa bila wewe kupendelea !! tano uhusiano wa Uasherati utazaa jamii chafu na mtaani patageuka Redlights (X) na sababu ni wewe !!
Kwakila chafu litakalo tendeka utabeba percent %. Sasa fikiria 1. Ongea na Dada binti umsomeshe elimu hii ataifahamu na mpe wazi yote (kweli ya shule hayakuelewa lakini hili atalifahamu sana) 2. Ongea na mlengwa omba samahani hamtaonana mjuze sababu. 3. Weka uhusiana mtaani na Wazee itakapo tokea Uhanithi (ushoga huu) wakuhami na kukushauri. HUO NDIYO Urijali ( be like a MAN ) Mwanaume hukutana na balaa.masaybu na matatizo mengi Lakini hekima na busara na nguvu hutatua !! Na siyo Mb-o (utupu wako).
good Luck Samahani Najiepushe kutatua kosa kwa kosa lingine.
Moto hauzimwi na moto kaka
Kwanza hebu ngoja ni tangulize salamu
Habari zenu wadau, hivi munajua dawa ya moto ni moto? na chuma hakikatwi bali na chuma chenza?
Hebu ngoja niende kwenye maada husika
kuna jamaa anatembea na mdogo wangu wakike wa mwisho na ndo kwnza yupo 4m4 na yey ana mke na watoto wawili na mkewe hajui kuhusu hili swala 2memkanya sana mdogo wangu nae ndo haskii la muazini wala muweka maji mskitini, shuleni anafeli hataki kusoma yani shida
Sasa jamaa amepata kazi ya udereva wa magari makubwa amesafiri inapata wiki sasa, kijana wenu kama kwaida yangu na mawazo ya kulipa kisasi nimefanya mandinga mpaka nimepata no. ya mkewe nimetupa mawe yeye kamwaga nyuki(yani kanikubalia) na "waswahili wanasema ukimla kuku wa mwenzio miguu itakurudia" leo nina appointment ya usiku na mkewe, halafu kuna mdogo wake kike amekuja kutoka mkoa kuwatembelea nae nataka kumuonesha mji kidogo, Sio kama napenda kufanya hiv ila hakuna anaependa kuona kwake kunaharibika, Au munanishauri nini wadau kabla hakuja haribika.. agghhrr!! yani dah!
Moto hauzimwi na moto kaka
Confussed totally..
Hee..am nt bhana i waz tryin to tel lara1 asitumia sana lugha ya watu kuadress issues au most so kumadvice mtu koz ts possible labda mhusika asielewe sana..niwie radhi mie
Wewe na mdogo wako msipoangalia mtakufa kwa HIV...halafu hasira itakuwa hasara...
Kwanza hebu ngoja ni tangulize salamu
Habari zenu wadau, hivi munajua dawa ya moto ni moto? na chuma hakikatwi bali na chuma chenza?
Hebu ngoja niende kwenye maada husika
kuna jamaa anatembea na mdogo wangu wakike wa mwisho na ndo kwnza yupo 4m4 na yey ana mke na watoto wawili na mkewe hajui kuhusu hili swala 2memkanya sana mdogo wangu nae ndo haskii la muazini wala muweka maji mskitini, shuleni anafeli hataki kusoma yani shida
Sasa jamaa amepata kazi ya udereva wa magari makubwa amesafiri inapata wiki sasa, kijana wenu kama kwaida yangu na mawazo ya kulipa kisasi nimefanya mandinga mpaka nimepata no. ya mkewe nimetupa mawe yeye kamwaga nyuki(yani kanikubalia) na "waswahili wanasema ukimla kuku wa mwenzio miguu itakurudia" leo nina appointment ya usiku na mkewe, halafu kuna mdogo wake kike amekuja kutoka mkoa kuwatembelea nae nataka kumuonesha mji kidogo, Sio kama napenda kufanya hiv ila hakuna anaependa kuona kwake kunaharibika, Au munanishauri nini wadau kabla hakuja haribika.. agghhrr!! yani dah!