zote zinatumia mkuu, hapo ndipo Samsung walipompiga bao apple ipads ambazo kwa sehemu kubwa utaenjoy kama una wi-fi ambayo huku bongo ni sehemu chache sana ndo zina wi-fi hata hizo chache mpaka uwe na password.
Samsung tablet tunapeta tu kwa sababu zinatumia simcards. 3G kama kawa!!!