MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,170
- 1,789
The guy is selfish he can do it at least once in a month that hardcore to his max then other days to just chill and enjoy your company
Unataka yale ya kihindi?Akhuu
Mapenzi ya kikahaba staki
Nikutafute kwa namba ipi?Mambo yasiwe mengi,
Shemejienu leo kanitolea mpya.
Tangu nimepata mtoto kama mwaka mmoja uliopita, maisha yetu ya chumbani yalibadilika. Na mwanzoni haikuwa ishu kwangu wala sikunotice sababu ya kuzama kwenye malezi. Sio kwamba hatuli tamtam, la hasha ila tu hakuna mashamsham(nimeenda kwa vina)
Mimi once in a while napenda mambo flani makali makali yaani pull my hair, choke me, nikunje, piga vibao vile vya kweli sio vya mahaba. Napenda na maneno ya ovyoovyo, niite B word, just be nastyy.
Sasa hivi vitu vilistop na hata nilipojaribu kuanzisha mara kadhaa sio kiviileee mwenzangu kama hataki.
Leo nikaamua tu niulize; eti ananiambia “wewe ni mama wa mwanangu, siwezi tu kufanya hivyo na wewe”.
Akamalizia “I just cant see you that way, nakuona kama malaika umenifanyia jambo kubwa”
Kweli jamani mnaona kuna uhusiano hapo? Ngoja nilale nayo kwanza nitafakari.
Kuigiza utakatifu wakati chini kupo waz ni unafki....at least bikra ataeleweka🤭Nashukuru umeona umuhimu wa hili
Kuna jamaa wapo standby kufanya hayo nyie mnayoona hayanogi....shauri enu msijesema hamkuambiwaHainogi hio
ĸaмa мwanυмe нaтaĸι ĸυĸυrιdнιѕнa υnaтegeмea nn, wanaυмe waвιnaғѕι ѕana yaan wao waĸιcнepυĸa ѕawa тυυ, ona ѕaѕa υyυ нaтaĸι υтaм ĸιѕa anaĸojoa нaтa вιla мaandalιz.Ulivo popoma utatafuta mchepuko.
yaan ĸυna waĸo deep ѕana yoυ jυѕт need тo ĸυjιacнιa😀anaĸυнaмιѕнa dυnιa.Kuna jamaa wapo standby kufanya hayo nyie mnayoona hayanogi....shauri enu msijesema hamkuambiwa
Unaona mbali sanaNatabiri huu uzi utakuwa mrefu
Kuna tigo hapaNahisi kuna "details" umeshindwa kuzisema ...ambazo ndo hasa tungeelewa..
Kuna kitu husemi...
Otherwise sioni shida why mtu ashindwe Ku pull hair tu na vibao kadhaa...
🤣🤣🤣 michezo ya ajabu ajabu ndo chanzo cha kufumuliwa marindaUnataka yale ya kihindi?
Au uume kuvunjikamichezo ya ajabu ajabu ndo chanzo cha kufumuliwa marinda
Mambo yasiwe mengi,
Shemejienu leo kanitolea mpya.
Tangu nimepata mtoto kama mwaka mmoja uliopita, maisha yetu ya chumbani yalibadilika. Na mwanzoni haikuwa ishu kwangu wala sikunotice sababu ya kuzama kwenye malezi. Sio kwamba hatuli tamtam, la hasha ila tu hakuna mashamsham(nimeenda kwa vina)
Mimi once in a while napenda mambo flani makali makali yaani pull my hair, choke me, nikunje, piga vibao vile vya kweli sio vya mahaba. Napenda na maneno ya ovyoovyo, niite B word, just be nastyy.
Sasa hivi vitu vilistop na hata nilipojaribu kuanzisha mara kadhaa sio kiviileee mwenzangu kama hataki.
Leo nikaamua tu niulize; eti ananiambia “wewe ni mama wa mwanangu, siwezi tu kufanya hivyo na wewe”.
Akamalizia “I just cant see you that way, nakuona kama malaika umenifanyia jambo kubwa”
Kweli jamani mnaona kuna uhusiano hapo? Ngoja nilale nayo kwanza nitafakari.
Ndio maana nataka nimkaribishe binamu yangu aje home nimpoze.. wifi yake hayupo. 😂Anastahili pole kubwa😅
Hii imeenda
Kantri niache leo sina mood ya kuongea ujinga, niko busy nalea nasikia mtoto mchanga usiku analia mnakesha kaniambia udugu wangu Antonnia
Ss hivi kalala kwanza, nasubiri hiyo usiku nione
Watu wanajiuliza wanauana, kumb wanazagamuana.Umesahau Kamba pia chuma…nje wanabaki kusikia yowe hawajui unazimia au ndo umezinduka