Ha haa haaa mkuuu, sisi vibopa, ndege mbili kwa pamoja keshi..... Halafu ujue fedha ya kununua zingine mbili ipo.
Japo msd haina dawa, wanafunzi wanaotakiwa kukopeshwa wapo wanapiga miayo, watumishi wa umma hawapandishwi madaraja wala increament....
Tz