chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,566
Leo mchumba wangu amekuja kunitembelea,nmekaa nae tokea saa 10 jioni kila nikimgusa ataki eti oh Dia nasikiliza bunge..
Nlikuwa nahamu nae sana since June tuliachana sasa tumerudiana analeta mambo ya Escrow.... Yaani nmefuraha hapa nasubiri kwa hamu liishe duh.
Nlikuwa nahamu nae sana since June tuliachana sasa tumerudiana analeta mambo ya Escrow.... Yaani nmefuraha hapa nasubiri kwa hamu liishe duh.