Kashfa hewa ya Escrow ilibuniwa kwa lengo la kubwa la kwanza kumng`oa waziri Muhongo na la pili ilikuwa kuiangusha serikali.
Naomba nichukue nafasi binafsi kuwashukuru washika mikoba ya utawala wazee wa Dar es salaam, washika nchi waliomeza nembo ya taifa na washika kifimbo cha mwalimu Nyerere kwa kuhakikisha nchi inabaki salama .
Shukrani sana na asanteni kwa kazi nzuri