epson 1410 photo printer

epson 1410 photo printer

Joined
May 17, 2013
Posts
36
Reaction score
5
natafuta hii printer, nimejaribu kuzunguka katika madukaa ya hapa Arusha bila mafanikio.
Nahitaji msaada
 
natafuta hii printer, nimejaribu kuzunguka katika madukaa ya hapa Arusha bila mafanikio.
Nahitaji msaada
Ina nini special mpaka uitafute hivyo?
Try to Speak it out ili watu waingie kazini kuagiza mzigo kutoka nje na biashara ifanyike.
 
Kama hutajali naomba uweke namba yako ya simu nitakupigia au nicontact kwa email address frajosmal@yahoo.com
Machine unayohitaji naweza kukusaidia ukapata brand new au used. utakavyopenda mwenyewe,hata ukihitaji na catridges zake naweza kuku supply japo kwa machine mpya utapata catridge sita. Asante.
 
Kama hutajali naomba uweke namba yako ya simu nitakupigia au nicontact kwa email address frajosmal@yahoo.com
Machine unayohitaji naweza kukusaidia ukapata brand new au used. utakavyopenda mwenyewe,hata ukihitaji na catridges zake naweza kuku supply japo kwa machine mpya utapata catridge sita. Asante.

Ahsante sana ndugu yangu.. 0757157725
 
Mkuu. Epson printer 1410 utapata kwa tsh 1100000 ikiwa na Continuous supply ink system.
Pia kama unataka kwa ajili ya kuprintia cd ninaweza badilisha mfumo wake badala ya kuprint cd moja moja , inabadishwa inakuwa inaprinti CDs , 6pcs. Inakuwa poa tu bila shida.
 
Mkuu. Epson printer 1410 utapata kwa tsh 1100000 ikiwa na Continuous supply ink system.
Pia kama unataka kwa ajili ya kuprintia cd ninaweza badilisha mfumo wake badala ya kuprint cd moja moja , inabadishwa inakuwa inaprinti CDs , 6pcs. Inakuwa poa tu bila shida.
Mm nahitaji ndogo ya passport size ni tsh ngap. 0625480174
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom