Unga wa Kitarasa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 398
- 101
ni mpya kabisa ipo sokoni inaanzia 1.8m kuna bei ya maelewano pia....mawasiliano : +255765817854
ni mpya kabisa ipo sokoni inaanzia 1.8m kuna bei ya maelewano pia....mawasiliano : +255765817854
Kudos!!!!Mkuu hizi printer zipo hd za shikingi 40 Elfu.
Unapotuwekea brand na libei kubwaaa that much bila hata specification hv nn maana yake?
Haya specification tu assume huzijui, uneahindwa kupiga hata tupicha tuwili mkuu?
Au umelazimishwa kuuza ss unataka isinunuliwe urudi kwa akiyekutuma umwambue JF hujapata mteja? Kwa design hii hupati hata wa kukuuliza kama inatumia umeme au mafuta ya taa!
Mkuu hizi printer zipo hd za shikingi 40 Elfu.
Unapotuwekea brand na libei kubwaaa that much bila hata specification hv nn maana yake?
Haya specification tu assume huzijui, uneahindwa kupiga hata tupicha tuwili mkuu?
Au umelazimishwa kuuza ss unataka isinunuliwe urudi kwa akiyekutuma umwambue JF hujapata mteja? Kwa design hii hupati hata wa kukuuliza kama inatumia umeme au mafuta ya taa!
Picha tafadhali
Picha,model,unapopatikana
Mkuu hizi printer zipo hd za shikingi 40 Elfu.
Unapotuwekea brand na libei kubwaaa that much bila hata specification hv nn maana yake?
Haya specification tu assume huzijui, uneahindwa kupiga hata tupicha tuwili mkuu?
Au umelazimishwa kuuza ss unataka isinunuliwe urudi kwa akiyekutuma umwambue JF hujapata mteja? Kwa design hii hupati hata wa kukuuliza kama inatumia umeme au mafuta ya taa!
Kudos!!!!
Mwambie bwana, tusijesema sie tukaonekana hatuna pesaa
wakuu kwanza heshima kwenu woooote kwa kupitia uzi wangu...naomba mnisamehe kulikuwa na matatizo ya kiuandishi ni EPISON PROJECTOR na sio EPISON PRINTER...samahani saana kwa usumbufu....mawasiliano ni +255765817854
Mbona sioni mabadiliko zaidi ya mabadiliko ya device husika from printer to projector?
Projector haina specification pia?
Ni mpya au used?
Made in wapi?
Kama imetumika hw many hours?
Sasa hiyo projecta ndo bei hiyoo?
ni mpyaaaa kabisa
Hutauza mkuu, zingatia vigezo... picha, specifications etc au niyawizi mbona hutupii picha hapa?