Mafuru yupo na ni mjasiliamali mzuri sana.......alikuwa anajiandaa wakati anafanya kazi tena hizo za juu maana kitanzania ukiwa juu kazi za fitna na siasa uwe plan B...hali hewa ikichafuka unajua pa kuanzia!!
Soon atarudi ulingoni nina hakika na hili.........mtasikia