Mi nadhani tunaitiwa la maana kumbe hayo?
Ukishakuwa mwanaume lazima kupambanua anachotaka mwanamke uweze.
Call the boys uwasaidie walau hata quality ya posts itaongezeka (Kwanza that pic was meant for fb's instangram...)
Hivi unajua kiafrika ukiwaita wanaume wakaja itakugharimu sana usipotoa sababu nzito ya wito?