Mnasema ccm hawajafanya lolote chini ya daktari JK.je haya hamyaoni.
1.wametuwekea pesa nje ya nchi.
2.kuua tembo na kusafirisha wanyama hai nje ya nchi.
3.kuvuana magamba.
4.kubadilisha ilani yao mpaka kuwa na ilani ya kupambana na chadema.
CCM WENZANGU MUWAONGEZEE MENGNE CCM OYEEEE.
Tatizo wapinzani wanapinga kila kitu,
1.Tumepandisha gharama za maisha
2. Tumeongeza deni la taifa hadi Trilion 20
3.Tumeweza KUBORESHA elimu hadi watoto wanafika sekondari bila kujua kusoma
4. Mwaka huu kama hujaskia tumeweza kutumia matokeo ya mock ya darasa la saba kuchagua watoto wa kuingia sekondari.
ccm OYEEEEEEE!!!!!!!
ENDELEENI KUIMALIZA NCHI HII WATU WAKISEMA MAMBO YA UKWELI MNAYOYAFANYA KWA MANUFAA YA MATUMBO YENU WAKATI WATZ WENGI HAWANA UHAKIKA HATA WA MLO MMOJA MNASEMA SI MAMBO YA MAANA YA MAANA NI YAPI? Kupeleka watoto sekondari wakati hawajui kusoma na kuandika? Kumsifia mkwele? PUMBAVU.
Tatizo wapinzani wanapinga kila kitu,
1.Tumepandisha gharama za maisha
2. Tumeongeza deni la taifa hadi Trilion 20
3.Tumeweza KUBORESHA elimu hadi watoto wanafika sekondari bila kujua kusoma
4. Mwaka huu kama hujaskia tumeweza kutumia matokeo ya mock ya darasa la saba kuchagua watoto wa kuingia sekondari.
ccm OYEEEEEEE!!!!!!!
5.tumempa u-dr rais hili nalo hamlioni.
6.tulimvua lema ubunge tukaamua kumrudishia hamuoni.
7.tumeongeza propaganda chafu dhidi ya chadema. Hamuoni kitasambaratika kabla ya 2015.