kuna ndugu anauza eneo lake lipo mbezi malamba mawili ,halijapimwa ,lna ukubwa wa m42'20' 25'25' 20; ni pembe tano fulani hivi ,ni asset bomba kwani eneo hili linakuwa kwa kasi! bei M 5 tu ,natumaini wanaosoma humu si madalali! Jitokezeni jamni jamaa amepata shule anataka akapunguze ujinga.