Eneo linauzwa ...!

utiyansanga

JF-Expert Member
May 19, 2010
213
7
kuna ndugu anauza eneo lake lipo mbezi malamba mawili ,halijapimwa ,lna ukubwa wa m42'20' 25'25' 20; ni pembe tano fulani hivi ,ni asset bomba kwani eneo hili linakuwa kwa kasi! bei M 5 tu ,natumaini wanaosoma humu si madalali! Jitokezeni jamni jamaa amepata shule anataka akapunguze ujinga.
 

weka number yake ya sim tu check nae
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…