Eneo linauzwa Kimara, Temboni

Eneo linauzwa Kimara, Temboni

senkondomhina

Member
Joined
Nov 14, 2015
Posts
8
Reaction score
0
Ninauza eneo, lina ukubwa wa EKARI MOJA, Eneo lipo KIMARA TEMBONI, jirani na kituo cha POLISI TEMBONI. Eneo Limezungushiwa UZIO(Fence), Lipo Umbali wa mita 400 kutoka morogoro road (dakika 8 kwa mwendo wa kutembea).

Huduma ya uhakika ya umeme, barabara na maji inapatikana. Uthibitisho wa umiliki wa eneo upo.

Kwa yeyote anayehitaji awasiliane na muhusika 0715 654141.
 
Sifa zote ulizosema zinafanana na sifa za kiwanja cha kanisa katoliki.
Kilichopa Karibu na kituo cha Polisi.

Ebu tupia picha tuone, picha ionyeshe pia kituo cha polisi
 
Sifa zote ulizosema zinafanana na sifa za kiwanja cha kanisa katoliki.
Kilichopa Karibu na kituo cha Polisi.

Ebu tupia picha tuone, picha ionyeshe pia kituo cha polisi

Mkuu umeua...
 
Sio eneo la kanisa katoliki, Eneo langu lipo jirani na KWA MZIRAI WA SUMATRA, jirani na bekari ya mikate (na panauzwa maji ya jumla ya kisima).
 
gharama ni 75,000,000.
Contact Muhusika 0715 654141
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • Photo0038.jpg
    Photo0038.jpg
    248.2 KB · Views: 705
  • Photo0033.jpg
    Photo0033.jpg
    286.9 KB · Views: 714
  • Photo0035.jpg
    Photo0035.jpg
    252.5 KB · Views: 691
  • Photo0030.jpg
    Photo0030.jpg
    210.4 KB · Views: 695
Sifa zote ulizosema zinafanana na sifa za kiwanja cha kanisa katoliki.
Kilichopa Karibu na kituo cha Polisi.

Ebu tupia picha tuone, picha ionyeshe pia kituo cha polisi

Hata mie nilielewa hapo hapo, labda atueleweshe vizuri,,ni kama unaenda Anazak skuli au yaani unaendelea tu mbele kulia mwa after kituo cha polisi
 
Hapana, ni tofauti na hiyo njia ya anazak, ni kama umbali wa mita hamsini kutoka kituo cha polisi. Au ukifika kituo cha polisi ulizia kwa MZEE MOJAMOJA...
 
Unaweza kutuarifu haya tafadhali;

Lina hati?
Ni la kwako au mwenyewe yu wapi?
Sababu ya kuuza?
Bei inashuka?
 
Eneoni lakwangu,
kuhusu hati, eneo lilipimwa tangu 2001, likawekwa mawe ya mipaka, lakini sikuprocess hati.
Kuhusu bei, haipungui.
kwa maelezo zaidi 0715 654141
 
Kama una makengeza utakuwa mzee wa vinjenti chenge

Hahahaha Chenge yule kwa 75M wala hawezikuona makengeza yeye labda hii 75 ingekuwa bilioni ndiyo angeona makengeza tena kwenye jicho moja tu
 
Hahahaha Chenge yule kwa 75M wala hawezikuona makengeza yeye labda hii 75 ingekuwa bilioni ndiyo angeona makengeza tena kwenye jicho moja tu



Hahahahahaha.....mzee wa havard kwenye njuruku ata buku anaweza kutolea macho
 
Ndugu yangu umeshalielewa eneo sasa?..basi kwa maelekezo mengine ni hivi..kama unatoka kituo cha polisi kwenda Temboni stendi..{barabara ya Morogoro}..yaelekeze macho yako upande wa kushoto..unapoanza kushuka kile kilima tu!..kuna barabara ya gari inayoingia ndani inayotazamana kabisa na 'gate' la zamani la Kimario..kumbuka upande huu wa kushoto hakuna barabara yoyote nyingine inayoingia ndani,.ni hiyo tu!..kabla hujalikuta 'gate' la Ngoli..basi,.barabara hii ninayoongelea ndio inayoelekea 'bakery'..na huko huko ndiko kunakouzwa maji yanayouzwa na magari..{ma-canter}..na hapo hapo ndipo palipo na eneo linalouzwa...basi unakaribishwa kuja kuliona...ahsante..
 
nice plot. Na bei pia si mbaya sana. Bei imeoga maji ya baridi na imechangamka kweli.
 
Sifa zote ulizosema zinafanana na sifa za kiwanja cha kanisa katoliki.
Kilichopa Karibu na kituo cha Polisi.

Ebu tupia picha tuone, picha ionyeshe pia kituo cha polisi

Kama nimeelewa vizuri ramani hilo shamba litakuwa la kwake kutokana na Id yake. Mzee wao alikuwa mmoja wa wazee wa zamani sana eneo hiyo. Nadhani aliitwa Mzee moja moja kutokana na kumiliki gari lenye namba TZ 11. Wadau wenye hela changamkia ofa hiyooo..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom