babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,244
Wakuu poleni na majukumu,
Nianze kwa kuipongeza serikali kwa kuweza kuipokea ndege kubwa kabisa duniani na kupelekea Kuipandisha hadhi nchi yetu.
Baada ya Salamu hizo nije kwenye swali langu.
Wakati Rais JP Magufuli anazindua ukuta wa Mirerani Simanjiro alitujuza kuwa kuna mahali pengine Pamegundulika kuwa na Kiasi kikubwa cha Tanzinite na hakukitaja ila alisema tutataharuki siku anazungushia Ukuta.
Je ni wapi huko? Wataalamu mliogundua tujuzeni tuanze kupamendea na kununua viamba huko maana nyota njema ni ya asubuhi.
Ahsanteni Karibuni Wataalamu wa Miamba mtujuze.
Nianze kwa kuipongeza serikali kwa kuweza kuipokea ndege kubwa kabisa duniani na kupelekea Kuipandisha hadhi nchi yetu.
Baada ya Salamu hizo nije kwenye swali langu.
Wakati Rais JP Magufuli anazindua ukuta wa Mirerani Simanjiro alitujuza kuwa kuna mahali pengine Pamegundulika kuwa na Kiasi kikubwa cha Tanzinite na hakukitaja ila alisema tutataharuki siku anazungushia Ukuta.
Je ni wapi huko? Wataalamu mliogundua tujuzeni tuanze kupamendea na kununua viamba huko maana nyota njema ni ya asubuhi.
Ahsanteni Karibuni Wataalamu wa Miamba mtujuze.