Eneo Ekari 1 linauzwa Visiga Miwaleni

Eneo Ekari 1 linauzwa Visiga Miwaleni

Mbimbinho

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2009
Posts
8,328
Reaction score
7,804
Habari ndugu zangu JF.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Eneo la Ekari moja linauzwa. Mmiliki ni dada yangu kaomba nimtangazie
Mahali: Kibaha Visiga miwaleni, 500m kutoka barabara kuu ya Morogoro
Bei: Tsh 18,000,000 (Mazungumzo yanakaribishwa)
Mawasiliano: 0784 414143 (Mwenye eneo, hakuna dalali)

Asanteni sana.
 
Habari ndugu zangu JF.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Eneo la Ekari moja linauzwa. Mmiliki ni dada yangu kaomba nimtangazie
Mahali: Kibaha Visiga miwaleni, 500m kutoka barabara kuu ya Morogoro
Bei: Tsh 18,000,000 (Mazungumzo yanakaribishwa)
Mawasiliano: 0784 414143 (Mwenye eneo, hakuna dalali)

Asanteni sana.
Na bei nayo amepanga Dada yetu, au ni wewe mwenyewe umejiongeza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom