Clayton Paul
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 2,239
- 4,738
.Kama hakuna adui kutokea ndani hakuna kitakacho kutokea.
View attachment 2744833
View attachment 2744834
View attachment 2744835
Check your inner circle.
Malizia na Bongo ?
Yes, malizia na Bongo!!
View attachment 2744836
1.Amebakia Nani ?
2.Vipi nchini kwako hayajatokea haya ?
Mstue Mkubwa wenu wa Kazi mwambie wapo active na Wana njaa ya kiti.
Endelea kuota nduguMstue Mkubwa wenu wa Kazi mwambie wapo active na Wana njaa ya kiti.
FreezeEndelea kuota ndugu
Shija KamwetuWasukuma mnataka kulipiza kisasi Nini ?
Watawadaka Kimangala.
Mchawi lugha mnamaFreeze
Mama nafikiri kasha nusa njaa ya vijana wake kutaka Kiti na anawaona wanavyozikusanya zikusanya pesa kwa nguvu kuelekea kuleKwa kweli hata Biblia ilisema kuwa maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake( wa karibu sana).
Ndo maana sehemu nyeti kama hizo humuweki ndugu au rafiki, hilo ni mistake.
Bongo wapo vizur kudil na watu wa aina hiyo rejelea yaliyomtokea mamviMama nafikiri kasha nusa njaa ya vijana wake kutaka Kiti na anawaona wanavyozikusanya zikusanya pesa kwa nguvu kuelekea kule
Bado naotaEndelea kuota ndugu