Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
Wabongo sisi kujielewa bado sana ndio maana hata wakoloni walikuja Afrika kututawala kwasababu tunachukulika kirahisi na akili zetu migando sana. Natamani hii serikali ipandishe nauli za dalalada hata iwe buku tano mbagala ~kariakoo, wapandishe bei ya Mchele kwa kilo ifike 10000,mafuta ya kula kwa Lita iwe 20000,unga kwa kilo iwe 5000, yani kila kitu kipande mara tano yake ili tuchapike mpaka tujione mambwa tu. Maana mitanzania ipo ipo inabaki kulalamika mitandaoni na Vyumbani tu kujitokeza hadharani ipinge inaogopa, yanaufyata mkia. Tena kwanzia leo ukija kulalamika chochote mbele yangu nakupiga kerebu moja hiyo hutakuja kusahau.