pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Uteuzi wa watakaowania ushindi wa tuzo tofauti za Laureus huwa unafanya na 'Nominations panel' ya wanaohusika kwenye michezo kwa njia moja ama nyingine kutoka nchi mia kote duniani. Kisha washindi huwa wanachaguliwa na 'delegates' kutoka Laureus World Sports Academy ambao wengi wao ni wanaspoti wa zamani kutoka sehemu tofauti duniani. Mashabiki wa michezo huwa wanapiga kura ya kuchagua Best Sporting Moment of the Year.Hongera kwake namuombea atuwakilishe vyema Africa na east africa.. Je, kuna link yeyote ya kupiga kura
Humble guy indeed, reminds me of David Rudisha. Jina lake linatajwa kwenye sentensi moja na wanaspoti ambao wamebobea kwenye nyanja zao, sio mchezo! Huyo Simbu uliyemtaja niliona mazingara duni anayoishi na kufanyia mazoezi jombaa hadi inatia huruma. Jamaa hapewi support, isipokuwa kumtaja taja tu.Big up eliud.... lazima atashinda. His record is extra ordinary... berlin marathon 2018 at 2.01.39 is super amazing... despite this world record the guy is still very humble and hardworking. He truly deserves...
Wabongolala hapa ndo wanaposhindwa..kijana wao moja alphonce simbu alienda NYC marathon akashindwa katikati.... very dissapointing.
Jombaa utangoja sana, hapa hutawaona wakileta kiherehere chao. Hawa watani wetu huwa wana allergy ya michezo yote, isipokuwa bedminton, na domo domo.hongera kwake.
Am waiting to see how bongolalas will turn this thread up-side down into a SGR , kibera , hunger tag war
kuongea tu ndio game yaoJombaa utangoja sana, hapa hutawaona wakileta kiherehere chao. Hawa watani wetu huwa wana allergy ya michezo yote, isipokuwa bedminton, na domo domo.
Hahaha!kuongea tu ndio game yao