Elimu ya Msingi sasa Miaka 6

Huku mtu hadi miaka 28 bado anafukuzia degree wkt nchi za wenzetu 28 alishafanya hadi Phd.
 
walicho kosea ni kufanya mtihani wa hesabu kwa ku shedi majibu. Linatengenezwa bomu fulanj ambalo litakuja kuwa hatari baadae
Yaani sijui ccm huwa wanawaza nini kwenye ushindani wa kitaaluma hapa duniani.
 
Kila mtu apambane na Elimu ya mwanae.
Msisitizo hapa ni kuangalia mustakabali wa taifa. Wenzako huko kwa mtoto mmoja mmoja wa kila mzazi walishavuka kitambo.Ni taifa dhidi ya taifa na siyo mtoto wa fulani dhidi ya mtoto wa mwingine.Ni mtazamo mpana zaidi wenye maslahi ya kitaifa.
 
haya sasa ndio mapinduzi ya kielimu, tija sio kukaa muda mrefuu darasani (miaka saba) bali tija ni kuwa msingi bora wa kusonga mbele, hivyo hata miaka mitano ilikuwa ina tosha.
 
Matayarisho ya sera hii ya linaanza kushirikisha wa dau mwaka 2008 na kukamilika 2014. Maadiliko yaka an za mwaka 2015 kwa kubadilisha mita ala ya std 1& 2 kisha 3&4 na 5&6 imefanyika mapema mwaka huu. Pia mafunzo ya mabadiliko ya mitàala kwa darasa la awali ili fanyika mwaka huu mwanzoni.
 
Sera ipo mtandaoni naomba wadau ipakueni na kusoma. Sera omeondoa elimu ya msingi (primary education) na kuwa elim msingi ( basic education) na mfumo huo unabadiloka kutoka 1+7+4 +2 +3+ na kuwa 1+10 +2 +3+. Sera hii sasa in a raja kuwa elimu ya chini ni kidato cha nne. Hivyo mwanafunzi anapoanza darasa la awali ambalo kwa mujibu wa sera hii ni lazima (compulsory) ataendelea na shule had kidato cha nne (nonstop,). Mabadiliko haya yameanza kwa kuboresha viwango vya walimu viendane na sera kwa kuwataka walimu wote wenye grade A wawe na kiwango cha elimu ya diploma na kuendelea. Hata vyuo vya ualimu havitoi tena course ya Grade A.
 
Mabadiliko haya yangekuwa yafanya ke mwaka 2019 ila waziri wa elimu alishasitisha kutokana Changamoto za miundombinu na walimu. Hasa kuwezesha madarasa mwili std vi na vii kuingia kidato cha kwanza kwa pamoja. Pia miundombinu haijaansaliwa kumudu Idadi ya watoto watakao hitajika kuingia form I.
 
Sa
safi sana maana watu sasa wanazeeka mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…