Elimu ya magari

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
2,088
Reaction score
3,548
Naombeni mwenye maoni au ushahuri kuhusu magari autoe haswa kwa sisi ambao hatuyajui kabsa kwa kutowahi kuyamiliki lakini tunatarajia kuyamiliki.

Ushauri unaweza kuwa tutembelee website gan kuyajua magari? Jinsi ya kuagiza? Faida na hasara za kununua gari showroom?

Gari gani nzuri kwa beginner?

Na lolote kuhusu magari.

Asanteni
 
Mi sina uzoefu lkn ninachofahamu gari ni sawa na mwanamke, unaye mpenda na kumuoa kuna mwingine hata ukimpa bure hamtaki.
Mfano: Duals ya million 20 mi hata ukisema nilipie m 5 sitoi ila kuna watu huwaambii kitu kuhusu hiyo gari bila kusahau ist siikubali lkn cheki wengine ndo wanavimbia.
 
Asante
 
Kununua gari showroom kwa bongo ni kama kuoa mwanamke uliyemkuta klabu usiku, nje anang'aa sana lakini maintenance yake itakuliza! Showroom watakupiga bei kubwa kwa sababu ya kodi ya fremu zao, bora uagize mwenyewe Japan ulipe kodi taratibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…