Msaada jaman kwa wale wataalam kuna kitu nimeona hapo ngoja niulize ...hivi TRADE GREDE I, GRADE II NA GRADE III mwenye grade hipi ambaye yupo Juu kielemu ....hapa namaanisha kwenye maswala ya ufundi
Msaada jaman kwa wale wataalam kuna kitu nimeona hapo ngoja niulize ...hivi TRADE GREDE I, GRADE II NA GRADE III mwenye grade hipi ambaye yupo Juu kielemu ....hapa namaanisha kwenye maswala ya ufundi
yaani alichobugi ni kwamba chuo alichokitaja ndio nilichosoma Mimi na walimu wote nawajua.
Kwa hyo angekuwa mbishi ningemuhoji hadi majina ya mabweni na madarasa.