Ehhhhh?! What???

na mkituzalisha ndiyo mtajua maharage ni mboga
Kwani hilo la kuzalishwa hujawahi lisikia? Halitakoma mkuu... Ila kuoa siku hizi ni sawa na kumchinja Kobe, lazima uchinje kwa timing.
 
kwa kwel hawa wanawake ni balaa sna hata kma wanapokea mabilion na mume anapokea laki moja hawatochangia hata penny
 
Shughuli ya kumchinja Kobe sio ndogo, ujiandae vzr na kisu kikiwa juu, uvizie kichwa cha Kobe anapokitoa Mara tu, bila kuchelewa ushushe kisu chap!...hahahahahaaaaa....
 
Chako chake, chake chake... wadada shikamoo!!
 
Hahaaaa ubuyu hilo swali aliwahi niuliza bwanaangu mmoja heiii


Natania ila lisemwalo lipo...............


Cc😡Michaelray
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…