eGA Practical Interview,

eGA Practical Interview,

Ndesalee

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
1,092
Reaction score
522
Wanajamvi nasikitika kuwa Console cable imenikosesha kazi,eGA. Kila niki-connect hiyo cable btn router & pc as required,inakataa kupeak router informations,ikiwa imebaki 20min to time ndo ikakubali.
Commands zote za kufanyia configuration nilikuwa nazijua,ila ndo hvo tena muda haukuwa rfk kwangu.
Nb: Tatizo hili liliwatokea karibia candidates wote.
 
Kweli nadhani haikuwa riziki yangu.
Lee Tomita & vitendo.
 
pole sana ndugu hata mm cjapita mana cjafikisha marks zao za pract swali lilikuwa moja na ckulielewa vizuri ila wenzetu wa mobile application hali haikuwa nzuri
 
Kweli utumishi ni haki bin fair pale. Ila tusife moyo tuliokosa kuingia oral kwa namna moja ama nyingine. Mana ipo day we will be heroes..
 
Mobile application wote hawajapita itawabidi watangaze tena, mim nimefanya business analyst oral wameuliza maswali ya class kabisa.
 
Mkuu hongera kwa kuingia oral. Mm sa hv nipo nakula bia just kwa kujitoa stress za kukosa kwenda oral..
 
Mimi pia full kuhuzunika, connection string imenikosesha kuingia kwenye oral, kila kitu kilikuwa sawa, nikiwauliza server name inakuwa hatuelewani nikaona isiwe tabu sio riziki yangu. Nilikuwa post ya application development.
 
pole broh ila kwa waliotumia hyperterminal hali ilikuwa mbaya sana lakin wale wa putty ishu ilikuwa sio ngumu kivile interms ya connection...
 
Poa wakubwa,siku yetu ikifika tutatoka tu hata kuwe na practical ya namna gani ile. "Aluta Kontinua"
 
Nimeamini Utumishi Hapana kujuana kwa suala la kazi maana wasiofikia alama wote kwa Mobile wamechinjiwa baharini

Waliobuni kuwweka ile taaaisi wameona mbali.. angalau siku hizi unaenda kwenye usaili bila kumjua nani yupo kwenyw pannel.
 
Back
Top Bottom