Economist Milton Friedman: There's no such thing like free lunch under the Sun.

tang'ana

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
11,813
15,077
Wadada wa Tanzania,huyu mchumi anaejiita Milton Friedman aliwah kuja na principle inayotuambia kuwa hapa duniani hakuna kitu cha bure kwamba kila kitu unachokitumia lazima ukilipie.asa nyie wanawake wa Tanzania mna katabia ka Kula pesa za wanaume afu mnaingia mitini bila kulipia.uchumi hauko hivo, lazima kuwe na hali ya nipe nikupe.ukipewa pesa na mwanaume nawe achia mzigo kisela ili kubalance uchumi.
Asanteni.
 
Back
Top Bottom