Ebay mnaonunua vitu huko piteni hapa

mwanaMtata

JF-Expert Member
Oct 18, 2014
2,393
1,433


Tangu nimeanza kufanya online pyrchases sijawahi kukutwa na janga la kunihuzunisha.

Mi huo naenda kwa machale. Mzigo ukiwa ghali naacha kama naweza kuusplit nanunua nusu ukifika namalizia nusu ingine.

Kwa kifupi jamaa hawa sijawahi kuwatumia zaidi ya dola 100. Kuna watu wana mkono mzuri wanatuma mpaka $1000 na mali zao zinafika.

Mwenzetu hapo kwenye video (Mzungu wa huko sjui wapi ) yamemkuta baada ya kutuma $900 anunue sim aina ya Nexus na kudhulumiwa
 
Duu bonge la mshtuko.. $900 siyo mchezo,haya mauziano ya kimtandao.mteja analindwaje ili kufidiwa?..
Hiyo inatokea. Mara nyingi zinakua salama sana ila tatizo kuna wauzaji wana tamaa na wengine wanaingia kwa gia ya utapeli. Kwa io anakutegea ukikosea hatua moja tuu anakulamba
 
Lazima ujue kuwa ebay sio duka ila ni kama sehem ya mnada yaani kuna wauzaji mbalimbali. So kuna baadhi ya wauzaji ni untrusted so inabid umakin
Umakini wa hali ya juu sana. Na hata ikitokea umerudishiwa pesa yako tayari utakua umeshakula hasara kwani hautafika siku hiyo.
 
If the price is too good to be true halafu mtu ukakimbilia kununua ujue ndio unapigwa hivyo. Hata hivyo ebay kuna wauzaji wengi wakuaminika ni jukumu lako kusoma historia ya muuzaji na amekua rated vipi. Kujilinda kunaanza na wewe mwenyewe
 
Mara nyingi ishawahi nitokea na order vitu havifiki kwa sasa hivi sinunui kitu chochote kikazidi Usd 20. Hata kisipofika najua order zitakazofika zitafidia hasara nitakayoipata kwa sababu naagiza vya biashara sio kwa matumizi yangu binafsi.
 


Tangu nimeanza kufanya online pyrchases sijawahi kukutwa na janga la kunihuzunisha.

Mi huo naenda kwa machale. Mzigo ukiwa ghali naacha kama naweza kuusplit nanunua nusu ukifika namalizia nusu ingine.

Kwa kifupi jamaa hawa sijawahi kuwatumia zaidi ya dola 100. Kuna watu wana mkono mzuri wanatuma mpaka $1000 na mali zao zinafika.

Mwenzetu hapo kwenye video (Mzungu wa huko sjui wapi ) yamemkuta baada ya kutuma $900 anunue sim aina ya Nexus na kudhulumiwa

sio mazuri kucheka lakini daaaaaah calculator..... I bet hata haifanyi kazi...... Ebana eeeeeh.
 
Kuwa safe unaponunua "item" yoyote eBay kwanza angalia bei halafu angali comparison ya hiyobei na wauzaji wengine. Kama bei ni ndogo saaana kimbia yani.

Kama bei hiko sawa nenda hatua ya pili kwa kuangalia reputation ya muuzaji epuka sana wauzaji ambao hawana review za zaidi ya mwaka mara nyingi unaweza kuta muuzaji ana reputation nzuri lakini zilizotokana na review za miezi sita tu.....

Baada ya hapo angalia item inauzwa kwa terms zipi je kuna money refund. Reputable buyers uwa wana refund in case umepata shida yoyote.
 
EBay sina hamu nao, issue ya 'quality' hawaizingatii hasa ktk mavazi,picha na utakachopata quality tofaautii...esp Chinese Sellers
Sijui wa UK huko wanaweza kuwa genuine perhaps.
 
IMG-20170417-WA0012.jpg
 
EBay sina hamu nao, issue ya 'quality' hawaizingatii hasa ktk mavazi,picha na utakachopata quality tofaautii...esp Chinese Sellers
Sijui wa UK huko wanaweza kuwa genuine perhaps.
Wachina wana size ndogo sana nguo zao ukinunua ongeza size kidogo
 
Back
Top Bottom