Hi!
Kwa upande wangu mimi sioni sababu ya sisi *(Tanzania) kujiunga na hili shilikisho kwa kipindi hiki na wala sidhani kama utakuja muda ambao tutakua tayali kujiunga nalo.
Zifuatazo ni sababu zangu kuu;
1. Hatuna mlingano wa kiuchumi kati yetu sisi na hao wenzetu, hili litatuletea matatizo katika soko letu la bidhaa hasa za viwandani.
2. hatuna mlingano wa uwiano wa idadi ya wasomi. wenzetu KE & Ug, wanavyuo vingi ukilinganisha na vyetu,hivyo idadi ya wahitimu wa elimu ya juu kwa wenzetu iko juu kulinganisha nasi.
3. Maendeleo ya kiviwanda, maendeleo ya kiviwanda yetu yapo chini kulinganisha na wenzetu