Mkuu Ukisha Approve leo Unatakiwa Kusubiri Masaa 24 Ili Report ifike kwa Katibu Mkuu Kupitia Mfumo!
Kingine Kwa Mujibu wa Implementation Hii ni wiki ya Tano ya Kuimplement subtask zako Je Una 10% Au 8% au Kuanzia 6%kwenye Proggress ya Implementation Yako??