E-loan mizinguo yake HATARI SANA..!

E-loan ukijaza pepmis zikawa approved mbona bado unaambiwa pepmis plan haijawa approved!?
Mkuu Ukisha Approve leo Unatakiwa Kusubiri Masaa 24 Ili Report ifike kwa Katibu Mkuu Kupitia Mfumo!
Kingine Kwa Mujibu wa Implementation Hii ni wiki ya Tano ya Kuimplement subtask zako Je Una 10% Au 8% au Kuanzia 6%kwenye Proggress ya Implementation Yako??
 
Sawa sawa labda iplementation ndo kikwazo, poa poa
 
 


Tuendelee kuwa wavumilivu. Serikali inawapenda sana Watumishi wake. Hivyo yuwe na subira, hata mwakani tutahakikisha mfumo wa PEPMIS unatengemaa.

Pia nyongeza ya kwenye mshahara uliopita inatosha. Hivyo, hakuna haja ya kwenda kukopa.
 
Mi leo imegoma verification number kuja ila namba ya simu ipo sahihi tu..! Mtandao majanga huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…