E 61 nokia inatafutwa!

E 61 nokia inatafutwa!

Ruzyfar

Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
55
Reaction score
2
Mweny e61 nokia antajie bei 2elewane"
pia unaweza nip.m nipo mwanza"
 
kaka ninayo nokia e61i,ila imepata hitilafu kwenye screen na ninaweza kurekebisha kwa ajili ya biashara...nipo dar,nipm kama upo willing...very cheap nitakuuzia...hours trials
 
kaka ninayo nokia e61i,ila imepata hitilafu kwenye screen na ninaweza kurekebisha kwa ajili ya biashara...nipo dar,nipm kama upo willing...very cheap nitakuuzia...hours trials
mia mkubwa kioo kmefnyaje tena?
 
Huyo mchiz anaesema laki3 kakudharau sana, sawa na itokee cm ya toch nokia mtu akuuzie laki 8....
 
Huyo mchiz anaesema laki3 kakudharau sana, sawa na itokee cm ya toch nokia mtu akuuzie laki 8....

huyo hana akili mi nimeikimbia kwa lak na 10 ye ndo anafanya lak 3 kama anauza bkra ya ------"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom